Ni vibaya binti kumnunulia baba yake boxer?

Ni vibaya binti kumnunulia baba yake boxer?

Ulikuwa unafanya kosa lipi? Hakuna kosa hapo

kwa mawazo ya wengi kosa nlilofanya ni kununua nguo za.ndani..ila zingine naweza..sasa kwangu niliona ni sawa tu
 
Sidhani kama nikweli

ukweli gani kaka..mimi mwenyewee nilinunua tena nikizihesabu zote zaweza fika 25 na si ajabu siku namnunulia mama nayeye ningemfungia za kwake kama si huyo mdada kunishtua ndo nkasema niulize humu mawazo ya wengi niyazingatie..nimejifunza kumbe kwa wengi ni kosa so sitarudia tena
 
Otakuwa ulianza ww kununuliwa pichu hapo umerdsha fadhila kwa dingi yako
 
Kibongobongo wengine wanaona mishe, nlivokua korea ni kama tradition mtoto wa kike na kiume wote wakipata mshahara wao wa kwanza wanawanunulia wazazi wao nguo za ndani...

huko inawezekana ila kwa hapa mawazo ya watu.wengi nimeona ni kosa..ingawaje kwangu mwanzoni niliona ni sawa kabisa
 
Otakuwa ulianza ww kununuliwa pichu hapo umerdsha fadhila kwa dingi yako

Wala..na hata hivyo sina mazoea ya kariibu zaid ya kumheshim kama babangu..nimegundua ni kosa ndugu so siwez kufanya vile tena..
 
Boxer ni kuvuka mipaka. Mama akijua atakutoa maini
 
alivonishauri huyo dada mtu mzima ambae naweza kumwita mamdogo ni kwamba sistahili kumnunulia baba zawad yeyote kwani mim ni mke wa mtu napaswa kumnunulia mama tu na.mume wangu..ila sijamaanisha boxer tu
ameline . Pamoja na ukubwa wa huyo aliyekuambia kuwa kwa vile umekuwa mke wa mtu ..basi hustahili kununua zawadi kwa wazazi!!!! sikubaliani kabisa. Endelea kuwatunza wazazi wako mana wakivaa mararuraru wakati uwezo kidogo unao ni aibu sana. Labda ntakushauri hizo boxer usinunue wewe tena.... mpe hela mama anunue yeye. Tatizo ni kuwa kama mama yako angekukataza toka mwanzo isingekuwa shida. Pole
 
Last edited by a moderator:
Boxer ni kuvuka mipaka. Mama akijua atakutoa maini

ungesoma mpaka mwisho ungenipata..mama nfi huwa nampa zawad.zote yeye ndo hutoa zake na za baba.humkabidhi mwenyewe..na hajawahi.kuniambia kama ni vibaya ama laa..but leo nimejifunza hapa kuwa ni vibaya so siwez rudia tena...
 
ameline . Pamoja na ukubwa wa huyo aliyekuambia kuwa kwa vile umekuwa mke wa mtu ..basi hustahili kununua zawadi kwa wazazi!!!! sikubaliani kabisa. Endelea kuwatunza wazazi wako mana wakivaa mararuraru wakati uwezo kidogo unao ni aibu sana. Labda ntakushauri hizo boxer usinunue wewe tena.... mpe hela mama anunue yeye. Tatizo ni kuwa kama mama yako angekukataza toka mwanzo isingekuwa shida. Pole

Nashukuru sana sana mwana ally kwa mawazo mazuri..ni kweli unavisema ningekatazwa muda mrefu nisingeweza kufanya hivyo ...ila kuanzia leo hii nimegundua ni kosa sitarudia tena...
 
Last edited by a moderator:
Wana MMU naombeni msaada wa ushauri..
Kabla sijaoewa nilikua na tabia ya kuwanunulia wazazi wangu zawad mbalimbali..mfano nikimnunulia mama vitenge au makatalogi yaliyotoka baba nae humnunulia mashati, suruali, viatu, mikanda n.k nikinunua underware za mama na nguo nyingine za ndani bas na baba namnunulia vilevile boxerz, pants,vest n.k na huzipeleka kwa pamoja..walikua wameshazoea na kuzifurahia zawad..na nilifanya hivi kwa muda mrefu tu na nlikua sina ubaguz wa mzaz yeyote.wote wanapata.
baada ya kuchumbiwa pia sikuacha hata mchumba wangu aliona wakat nanunua zawad.hizo na wakat mwingine tunachagua wote nae akimnunulia.mama yake.

Baada ya.kuolewa sasa..siku moja nikanunua kama kawaida makadet na mashati pamoja na nguo za mama na wakwe zangu kama zawadi nikamwita mdogo wangu aje dukani kuchukua za wazaz wangu awapelekee.sasa rafiki yangu nliekua nae akanambia unafanya nini? unamnunulia babako nguo mpaka leo? wewe mke wa mtu acha mke wake (mama yangu) amnunulie! hutakiwi kumnunulia tena! mnunulie mama tu! mh na.maneno mengi tu aliongea yaliyonikatisha tamaa mpaka ikabidi nisitishe zawad hizo mpaka leo sijawahi tena kuwanunulia sio baba wala mama kwani naogopa kumpa mama bila baba kwani nilishazoea kuwapa wote.

Nauliza jamani;: kuna ubaya wowote kwa binti alieolewa kumnunulia baba yake zawadi kama nguo na nguo za ndani n.k?
sina amani najisikia vibaya kwani wazaz wangu wataona nimewatelekeza tangu niolewe hakuna zawadi tena..naombeni mnisaidie wale wenye uzoefu na haya mambo jamani.

Kikwetu ni aibu hata kujua nguo gani ya ndani anavaa MZAZI wako. Wazazi kama wapenzi wengine hununuliana wenyewe nguo Za ndani. Mapenzi yako onyesha kwa nguo Za kawaida na zawadi zingine.
 
Kikwetu ni aibu hata kujua nguo gani ya ndani anavaa MZAZI wako. Wazazi kama wapenzi wengine hununuliana wenyewe nguo Za ndani. Mapenzi yako onyesha kwa nguo Za kawaida na zawadi zingine.

shukrani..nimekusoma ndugu nitazingatia
 
alivonishauri huyo dada mtu mzima ambae naweza kumwita mamdogo ni kwamba sistahili kumnunulia baba zawad yeyote kwani mim ni mke wa mtu napaswa kumnunulia mama tu na.mume wangu..ila sijamaanisha boxer tu
Huu ni ushauri wa kipuuzi. Kila mtu ana mila desturi na mazoea yake muulize sababu zake za msingi zinazofanya asimnunulie baba yake zawadi. Inawezekana wana ugomvi na anafanya hivyo kumkomoa baba yake
 
Huu ni ushauri wa kipuuzi. Kila mtu ana mila desturi na mazoea yake muulize sababu zake za msingi zinazofanya asimnunulie baba yake zawadi. Inawezekana wana ugomvi na anafanya hivyo kumkomoa baba yake

asante ndugu nimekuelewa nitalifanyia kazi..mdo maana nimetaka ushauri wa wengi
 
Back
Top Bottom