pole aisee mana jf vituko haviishihahahhaahahahahaah!!!!!! unaniua mbavu.
pole aisee mana jf vituko haviishihahahhaahahahahaah!!!!!! unaniua mbavu.
mpiganaji ngumi.Boxer ndiyo nn?
kamuulize mama yako kama kuna kitu si sawa atakwambia, achana na wanajf
wacha watu wongee yao kwani kipindi unamnunulie boxer alishawahi kukukatalia usinunue au alikuambia ni vibaya? Kwasasa ndo unafanya vibaya kuacha kununua endelea na utamaduni wako uliojiwekea.na utapata thawabu kutoka kwa allahila sasa mimi nimeolewa ndugu..baba pads alitununulia sana wakati.tunasoma tena sekondari..ile nliambiwa hain shida hata nlivofanya vile kabla sijaolewa..tatizo ni sasa nishaolewa eti baba hastahili zawadi.zangu.tena?
anayekukataza kumnunulia boxer ni rafiki yako sio moyo wako.chakujiuliza ni huwa baba anafurahia zawadi zako? vilevile kumbuka kununua vya baba na Mama kwa pamoja huongeza upendo kwa wazazi wako.ni alama yakujali na kuonyesha uthamini.unalofanya linamfanya baba yako apate uamini kuwa wewe bado ni mtoto wake,bado huogopi kukaa juu ya mapaja yake kwa upendo anaamini wewe unamheshimu yeye kama Baba hata sasa.
keep it up.....wewe yule ni baba yako na kwake haukui dada angu hata ukiolewa bado ni mtoto kwake.anajua unafanya hayo kwa upendo wa mtoto