Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Ibara ya 13(6)(a-e) imeeleza wazi uhumimu wa haki ya kila mtu anayetuhumiwa kufanya makosa kutendewa haki mbele ya mahakama na vyombo vya usalama.
Haki hizi ni pamoja na kutopata mateso kwa watuhumiwa wakiwa chini ya vyombo vya dola. Kufikishwa mahakamana kisha kusikilizwa na kutiwa hatiani bila kuonewa.
Taifa letu limeshuhudia watu wa kila namna, maskini, matajiri na wanasiasa wakipandishwa vizimbani.Hii ni ishara kuwa sheria zinazingatiwa.
Harbinder Seth, Amber Lutty Ndama Mutoto ya Ng'ombe , Freeman Mbowe na wengine wengi wamefikishwa kizimbani.
Huu ni mfano mzuri. Taifa letu linafanya vizuri.
Haki hizi ni pamoja na kutopata mateso kwa watuhumiwa wakiwa chini ya vyombo vya dola. Kufikishwa mahakamana kisha kusikilizwa na kutiwa hatiani bila kuonewa.
Taifa letu limeshuhudia watu wa kila namna, maskini, matajiri na wanasiasa wakipandishwa vizimbani.Hii ni ishara kuwa sheria zinazingatiwa.
Harbinder Seth, Amber Lutty Ndama Mutoto ya Ng'ombe , Freeman Mbowe na wengine wengi wamefikishwa kizimbani.
Huu ni mfano mzuri. Taifa letu linafanya vizuri.