kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,435
- 4,997
- Thread starter
- #61
Acha uleviHebu kwendraa huko......
Acha uleviHebu kwendraa huko......
Akiliwa freshWew ni mpumbavu ungemla huyo unasema uliapa hutakuja Kula Mke au mwanamke wa mtu watakuja wajubareng'iiiii watakulalia wakwako
NaamYa kukataa kushiriki dhambi ya Uasherati.
Chance ya mwanaume aliyelewa kutembea na wanawake wengine ni ndogo ukilinganisha na MwanamkeMawazo yako yakiwa hayo utahangaika mpaka unakata upepo.
Si haki sawa? Kwa hiyo na sisi kulewa poa tu.
Wapi pameandikwa wanaume ruksa kulewa,af mwanamke marufuku?
Nyie mkilewa huko hamtucheat?
Sikupiga mkuuHaihitaji kusoma Cuba hapo,ushampiga huyo.
Umesahau wale wa katani kichwani na mikucha ya bandiaMwanamke mlevi, changudoa na mwenye tattoo hawa wako wizara moja.
Hao walevi wanaigiza ustaarabu fake utaskia mi nakunywa wine
Hakuna kitu mlevi mmoja usimuoe huyo.
We ukilewa unafir$#&@ kumbe!!! 🙄Kwa hio wewe hua ukilewa unafir&#-$ na ushazoea ukilewa tu wanakufir&? Na kwako sio kitu Cha ajabu kufir&$-
Kwakua hela ya bia unanipaga wewe eeehAcha ulevi
Wewe ndio umesema ukilewa wajuba hua wanakufir&We ukilewa unafir$#&@ kumbe!!! 🙄
Lewa Ila usilewe ukazima itakucostKwakua hela ya bia unanipaga wewe eeeh
Mimi huwa sipangiwiii (kwa sauti ya magu)Lewa Ila usilewe ukazima itakucost
Hey its monday achana na habari za miknd ya watu.....Wewe ndio umesema ukilewa wajuba hua wanakufir&
Sawa Mkurugenzi, lewa tuMimi huwa sipangiwiii (kwa sauti ya magu)
Sawa baby,Hey its monday achana na habari za miknd ya watu.....
Naomba namba ya mke wako nimsalimieKizazi cha kina Junior mnastaajabisha sana, akimla Mke wa Mtu atasababisha Mke wake asigongwe na Wahuni?
Sana sana ni kujiongezea mikosi isiyo na ulazima, magonjwa ya zinaa, UKIMWI na hata uchumi kuparanganyika.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Waambie haoHamna raha Kama cutomber mwanamke mwenye kilevi kichwan[emoji4]