Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,911
- 183,311
Wa mtafiti.Wa nani?
Wa mtafiti.Wa nani?
Hivi inawezekana vipi ukawa na Mwanamke mlevi? Haujui kuwa Kuna 100% za yeye kukusaliti akishalewa!
Hata kama anakunywa chini ya uangalizi wako Kuna siku hautakuwepo atalewa na kuishia kukusaliti.
Soma hiki kisa.
Jana jumamosi nikiwa zamu ya usiku kuamkia Leo jumapili nilikua na workmate wa kike aliyekuja na bia zake lengo ajipoze baada ya majukumu kupungua.
Ameolewa na ndoa yake Haina muda mrefu.
Muda ulienda na majukumu yakapungua kweli workmate akaamua kunywa bia zake huku Mimi nikiwa bize kuendelea na kazi ndogondogo zilizokua zimebaki hapo.
Kufupisha story
Workmate alilewa na kuanza kutengeneza mazingira nimchakate
Alipoona sielewi somo akaamua kuniambia wazi wazi kuwa ana n**ge nimchakate. Nashukuru niliiruka mitego yote maana nilishajiapiza kuwa siwezi kutembea na mke/Mwanamke wa mtu mwingine.
Ya kukataa kushiriki dhambi ya Uasherati.Hongera ya nini?
Kutoka kwenye mikono ya aduiHongera ya nini?
HansonchoiceUnaujua utamu wa Flying fish, reds na castle lite wewe?
#YNWA
Yap vipi na wewe unataka nikufanyie utafiti?Wa mtafiti.
Kwa hio na wewe sio ajabu kufir$#& km alivyojibu Evelyn Salt ? Kwamba yeye akilewa kufir&$- sio kitu Cha ajabuMawazo yako yakiwa hayo utahangaika mpaka unakata upepo.
Si haki sawa? Kwa hiyo na sisi kulewa poa tu.
Wapi pameandikwa wanaume ruksa kulewa,af mwanamke marufuku?
Nyie mkilewa huko hamtucheat?
Poa tu. Si unakuwa umelewa lakini?Kwa hio na wewe sio ajabu kufir$#& km alivyojibu Evelyn Salt ? Kwamba yeye akilewa kufir&$- sio kitu Cha ajabu
Ndio unakua umelewa na jamàa anaendelea kukufir& kwa hamu zake hapo hata haujitambui kwako ni poa kabisa?Poa tu. Si unakuwa umelewa lakini?
Ndio,mimi haina shidaNdio unakua umelewa na jamàa anaendelea kukufir& kwa hamu zake hapo hata haujitambui kwako ni poa kabisa?
Kwa hio na wewe ukishalewa yaan kufir$& kwako sio kitu cha ajabu unawasusia tu wahuni wakipakue kisamvu Cha kopo?Ndio,mimi haina shida
Naona unamtetea mlevi mwenzako mkuuHebu kwendraa huko......
Nilijaribu pombe nikaona Haina maana nikaachaPombe unakunywa ukiwa umekunja uso kama umeng'ata ulimi.
Sigara unavuta moshi ndani ya mwili kisha unaitoa nnje.
Hizi starehe sijawahi kuzielewa na namwomba sana Mungu anijalie maisha yangu yote nisijichanganye kabisa.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Unakuta hata demu hujawah milikiDah, Kataa ndoa, tunza kibundacho...
Nilishaapa kuwa sitatembea na mke/ Mwanamke wa mtuUngempelekea Moto kenge huyo hadi Mimba si kataka mwenyewe,