Ni ujinga kumiliki mke/mwanamke mlevi

Ni ujinga kumiliki mke/mwanamke mlevi

kalisheshe

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2020
Posts
2,435
Reaction score
4,997
Hivi inawezekana vipi ukawa na Mwanamke mlevi? Haujui kuwa Kuna 100% za yeye kukusaliti akishalewa!
Hata kama anakunywa chini ya uangalizi wako Kuna siku hautakuwepo atalewa na kuishia kukusaliti.

Soma hiki kisa.

Jana Jumamosi nikiwa zamu ya usiku kuamkia Leo Jumapili nilikuwa na workmate wa kike aliyekuja na bia zake lengo ajipoze baada ya majukumu kupungua.

Ameolewa na ndoa yake Haina muda mrefu.

Muda ulienda na majukumu yakapungua kweli workmate akaamua kunywa bia zake huku Mimi nikiwa bize kuendelea na kazi ndogondogo zilizokuwa zimebaki hapo.

Kufupisha story

Workmate alilewa na kuanza kutengeneza mazingira nimchakate
Alipoona sielewi somo akaamua kuniambia wazi wazi kuwa ana n**ge nimchakate. Nashukuru niliruka mitego yote maana nilishajiapiza kuwa siwezi kutembea na mke/Mwanamke wa mtu mwingine.
 
Hivi inawezekana vipi ukawa na Mwanamke mlevi? Haujui kuwa Kuna 100% za yeye kukusaliti akishalewa!
Hata kama anakunywa chini ya uangalizi wako Kuna siku hautakuwepo atalewa na kuishia kukusaliti.

Soma hiki kisa.

Jana jumamosi nikiwa zamu ya usiku kuamkia Leo jumapili nilikua na workmate wa kike aliyekuja na bia zake lengo ajipoze baada ya majukumu kupungua.

Ameolewa na ndoa yake Haina muda mrefu.

Muda ulienda na majukumu yakapungua kweli workmate akaamua kunywa bia zake huku Mimi nikiwa bize kuendelea na kazi ndogondogo zilizokua zimebaki hapo.

Kufupisha story

Workmate alilewa na kuanza kutengeneza mazingira nimchakate
Alipoona sielewi somo akaamua kuniambia wazi wazi kuwa ana n**ge nimchakate. Nashukuru niliiruka mitego yote maana nilishajiapiza kuwa siwezi kutembea na mke/Mwanamke wa mtu mwingine.
Pombe unakunywa ukiwa umekunja uso kama umeng'ata ulimi.

Sigara unavuta moshi ndani ya mwili kisha unautoa nnje.

Hizi starehe sijawahi kuzielewa na namwomba sana Mungu anijalie maisha yangu yote nisijichanganye kabisa.
 
Si ndio!
 

Attachments

  • 255658643636_status_cc066cd2db0f48089ef069cdd0dd9ff4~2.jpg
    255658643636_status_cc066cd2db0f48089ef069cdd0dd9ff4~2.jpg
    42.4 KB · Views: 23
Hivi inawezekana vipi ukawa na Mwanamke mlevi? Haujui kuwa Kuna 100% za yeye kukusaliti akishalewa!
Hata kama anakunywa chini ya uangalizi wako Kuna siku hautakuwepo atalewa na kuishia kukusaliti.

Soma hiki kisa.

Jana jumamosi nikiwa zamu ya usiku kuamkia Leo jumapili nilikua na workmate wa kike aliyekuja na bia zake lengo ajipoze baada ya majukumu kupungua.

Ameolewa na ndoa yake Haina muda mrefu.

Muda ulienda na majukumu yakapungua kweli workmate akaamua kunywa bia zake huku Mimi nikiwa bize kuendelea na kazi ndogondogo zilizokua zimebaki hapo.

Kufupisha story

Workmate alilewa na kuanza kutengeneza mazingira nimchakate
Alipoona sielewi somo akaamua kuniambia wazi wazi kuwa ana n**ge nimchakate. Nashukuru niliiruka mitego yote maana nilishajiapiza kuwa siwezi kutembea na mke/Mwanamke wa mtu mwingine.
Maajabu ya dunia walevi wenyewe hawawazagi kabisa kuoa Ke walevi zaidi ya kuwatumia tu kistarehe.

Ref:

Kaka yangu wa damu.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom