Sijasikia,unasemaa? 😅Kama nakuona ulivyompimia hapo wifi namna unatokaga nae mnakaa chobis mnazimua 😆😆
Oii mkuu, za kuambiwa changanya na zako
Sijasoma ulichoandika 😁😁Sijasikia,unasemaa? 😅
Pombe gani unakunja uso mkuuPombe unakunywa ukiwa umekunja uso kama umeng'ata ulimi.
Sigara unavuta moshi ndani ya mwili kisha unautoa nnje.
Hizi starehe sijawahi kuzielewa na namwomba sana Mungu anijalie maisha yangu yote nisijichanganye kabisa.
Mbona wanaliwa tu na tunajua sio walevi? Endeeni kukariri.
Mie pombe siachi mpaka yesu atakaporudi



Tumeumbwa kuliwaNa utaliwa sana
#kataa wanawake walevi
😂😂😂
Bado nashangaa…😂😂😂
Sasa wanywa wine wa watu wamewakosea nini jamani..??
Ex na andazi..??Bado nashangaa…
Karibu hapa kiglass cha wine na andazi
Mkiambiwa chakula hiki hapa njoo ufurahieeee .... mnaruka futi mia .... mkinyimwa mnasambaza umbeaa




Mbususu haisuswi wewe boya 🤣🤣🤣🤣🤣Hivi inawezekana vipi ukawa na Mwanamke mlevi? Haujui kuwa Kuna 100% za yeye kukusaliti akishalewa!
Hata kama anakunywa chini ya uangalizi wako Kuna siku hautakuwepo atalewa na kuishia kukusaliti.
Soma hiki kisa.
Jana jumamosi nikiwa zamu ya usiku kuamkia Leo jumapili nilikua na workmate wa kike aliyekuja na bia zake lengo ajipoze baada ya majukumu kupungua.
Ameolewa na ndoa yake Haina muda mrefu.
Muda ulienda na majukumu yakapungua kweli workmate akaamua kunywa bia zake huku Mimi nikiwa bize kuendelea na kazi ndogondogo zilizokua zimebaki hapo.
Kufupisha story
Workmate alilewa na kuanza kutengeneza mazingira nimchakate
Alipoona sielewi somo akaamua kuniambia wazi wazi kuwa ana n**ge nimchakate. Nashukuru niliiruka mitego yote maana nilishajiapiza kuwa siwezi kutembea na mke/Mwanamke wa mtu mwingine.
wanawake Walevi wanachakatwa hadi misibaniHivi inawezekana vipi ukawa na Mwanamke mlevi? Haujui kuwa Kuna 100% za yeye kukusaliti akishalewa!
Hata kama anakunywa chini ya uangalizi wako Kuna siku hautakuwepo atalewa na kuishia kukusaliti.
Soma hiki kisa.
Jana jumamosi nikiwa zamu ya usiku kuamkia Leo jumapili nilikua na workmate wa kike aliyekuja na bia zake lengo ajipoze baada ya majukumu kupungua.
Ameolewa na ndoa yake Haina muda mrefu.
Muda ulienda na majukumu yakapungua kweli workmate akaamua kunywa bia zake huku Mimi nikiwa bize kuendelea na kazi ndogondogo zilizokua zimebaki hapo.
Kufupisha story
Workmate alilewa na kuanza kutengeneza mazingira nimchakate
Alipoona sielewi somo akaamua kuniambia wazi wazi kuwa ana n**ge nimchakate. Nashukuru niliiruka mitego yote maana nilishajiapiza kuwa siwezi kutembea na mke/Mwanamke wa mtu mwingine.
Ah mtaalam wa threesome upo? Hainogi bila pombe au sioHebu kwendraa huko......