mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,086
- 39,573
kwani kwa asiye mke wa mtu hapati mikosi na ukimwi[emoji23][emoji23]Kizazi cha kina Junior mnastaajabisha sana, akimla Mke wa Mtu atasababisha Mke wake asigongwe na Wahuni?
Sana sana ni kujiongezea mikosi isiyo na ulazima, magonjwa ya zinaa, UKIMWI na hata uchumi kuparanganyika.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
sisi tunamuondolea uwezekano wa kuja kujioma ndezi huko mbeleni.
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app