Ni ujanja au ujinga kukaa na mtu mnapiga naye story kwa masaa au siku kadhaa bila kujua jina lake?

Ni ujanja au ujinga kukaa na mtu mnapiga naye story kwa masaa au siku kadhaa bila kujua jina lake?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
57,243
Reaction score
90,302
Nilichokiona kwa wazungu au watu nje ya bara la Africa wengi awe mwanaume au mwanamke mara nyingi mkikutana tu popote ikatokea mkaanza kupiga story na ikaonekana mtaendelea kuongea muda mrefu basi atajitambulisha mara moja mwanzo tu wa mazungumzo yenu na ndipo mtaendelea na story, kwa Wabongo hali ni tofauti kabisa mnaweza kuwa mnakutana na mtu hata mwezi mzima mfano Bar mnapiga story ila hakuna kujuana kama mazombi.
Screenshot_20250515-185319_X.jpg


Screenshot_20250515-185229_X.jpg
 
Jina!..
Sidhani kama umefikiria sana maana jina sio kitu saana!, kuna watu unakutana nao nakuachana kwa muda tu so kama kuna kuwa hakuna haja yakujuana majina si ajabu kutoulizana!.
Anaeomba maji yakunywa ndie anashida nayo!.
 
Nilichokiona kwa wazungu au watu nje ya bara la Africa wengi awe mwanaume au mwanamke mara nyingi mkikutana tu popote ikatokea mkaanza kupiga story na ikaonekana mtaendelea kuongea muda mrefu basi atajitambulisha mara moja mwanzo tu wa mazungumzo yenu na ndipo mtaendelea na story, kwa Wabongo hali ni tofauti kabisa mnaweza kuwa mnakutana na mtu hata mwezi mzima mfano Bar mnapiga story ila hakuna kujuana kama mazombi.
View attachment 3334852

View attachment 3334853
raha sana
 
Tatizo mnataka kuwa kama hao watu mnawaita watu wa mbele yani mfanane kila kitu mpaka tabia na ndio maana wanapenyeza ishu zao sababu mnataka kuwa kama wao.
Anyway inategemea mpo kwenye ishu gani sasa mtu tumekutan uwanjani kweny kabumbu unataka unijue siku hiyo hiyo?
 
Nilichokiona kwa wazungu au watu nje ya bara la Africa wengi awe mwanaume au mwanamke mara nyingi mkikutana tu popote ikatokea mkaanza kupiga story na ikaonekana mtaendelea kuongea muda mrefu basi atajitambulisha mara moja mwanzo tu wa mazungumzo yenu na ndipo mtaendelea na story, kwa Wabongo hali ni tofauti kabisa mnaweza kuwa mnakutana na mtu hata mwezi mzima mfano Bar mnapiga story ila hakuna kujuana kama mazombi.
View attachment 3334852

View attachment 3334853
fazah fazah!!🤣🤣🤣
 
Kuna jinsi ya kuji introduce kwakweli kwa upande wangu

Nikiona mtu kama tunaweza saidiana uko mbeleni,kwenye maswala ya biashara au hustling kwa ujumla

Naanza kujitambulisha
When we shake hands

Naanza kwa kusema jina langu

Haina maana kwamba hiyo ni universe law kwamba kila wanaume wanapokutana sehemu hawaulizani majina
 
kuna dogo mmoja huwa ananiita mwaisa sijui huwa anawaza nini

bwege mwingine alikuwa ananiita mmasai kwa muda mrefu sana hadi tulipo fahamiana

kuna mzee huwa hanifahamu jina ye huniita faza miaka yote, basi kuna siku nilitatua shida flani ndio alinifahamu jina langu na akashangaa sana
 
Chaaba anasemaje mkuu kuhusu andiko lako?
Screenshot_20250515_231358_TikTok.jpg
kwahiyo kinachofanywa na wazungu na sisi tupite humohumo? Kuna ulazima gani ya kufahaamiana?
 
Back
Top Bottom