Ni uhaini - as simple as that!

bosi junius
umesema Mda huu tunahisabu tarehe tu kuifutilia mbali CCM Zanzibar,
vipi unataka uturudishe utawala wa chama kimoja?enzi zile zishapitwa na wakati bosi,upinzani lazima uwepo in order challenge the ruling party

Labda sijakuelewa...sijasema kufuta upinzani... bali kuifuta CCM Zanzibar...bila CCM Zanzibar inawezekana...mbona!
 
Mzee hii inaonekana kama vile hawataki lakini wanataka. Vyao vyao lakini vyetu vyao pia. Muungano ukivunjika wapemba wote waliotapakaa huku tanganyika wafunge vilago waende kwao, sisi pia tutawakaribisha nyumbani wanyamwezi kidogo walioko huko na tutawapa pa kuishi na uchumi wetu ingawa si mkubwa utamudu tu. Hofu kwangu hao wanaoleta za kuleta itakuwaje???
 

Wapemba na Wanyamwezi wataamua uraia gani wachukue kwani si lazima kuondoka!! Na wazanzibar wameona EAC itawasaidia ku-maintain mambo yao bara!
 

Hukunipata mwanakijiji, kwa kuweka wazi kuwa mimi ni mmang'ati nilitaka watu wasije dhani labda ni mzanzibari so ninatoa haya maoni kwa kusukumwa na uzanzibari wangu kwani tayari imeonekana hapa kuwa wapingao muungano ni wazanzibari. Unachukulia maoni ya watu kiuwepesi wepesi thats why unaenda kwenye conclusion tu kuwa watanzania wako ivi au vile...kuna tatizo kwenye muundo wa muungano, tena kubwa tu, watu wakiliona hilo mnasema hawautaki, what is that...muungano huu feki, tutengeneze wa kiukweli ili mambo yakae sawa,,,otherwise zanzibar wana haki ya kutangaza na kuilinda mipaka yao kwani si ni nchiii au?
 
Kukaa kimya kwa JK kunatia wasiwasi naomba anayekumbuka anifamishe katika wale G59 Kikwete hakuwemo?
 
Hapa wameonekana wazandiki wengi wakitowa mawazo yao mabovu zidi ya wazazibari hivi nyinyi kweli mnautu na watu wenu ?angalia ndugu zenu huko vijijini maisha wanayoishi kama kweli inakumeni kwanini msfike na kuwapa msada wa hali na mali na kuwapa elimu itakayobadilisha hali ya maisha wanayuoishi , binadamu anahitaji maisha bora na sio kuendelea kuishi kama vile mnyama pori haya hamyaoni ?



Saidi Mgeni - Muuguzi Msaidizi na Msimamizi wa Maabara akitizama chupa za dawa 'zilizotusuliwa' na panya.















Hapa chini ni maliwato ya shule Lindi. Hii shule imekuwa na maliwato ya hivi kwa miaka 35
Jengo la bweni katika shule ya sekondari Tanga





Subi
 
Wapemba na Wanyamwezi wataamua uraia gani wachukue kwani si lazima kuondoka!! Na wazanzibar wameona EAC itawasaidia ku-maintain mambo yao bara!
Wanaoleta za kuleta ni hao wapemba waliozagaa huku,, kama hawataki muungano waende zao nasi hatuwataki! waende huko wanakoona kutawafaa.
Hakutakuwepo na hiari ya kuchagua uraia kama wakikubabali kutenda hii dhambi! Hakuna chochote tunacho kifaidi kwa znz kuwa ndani ya muungano zaidi ya prestige kuwa sisi ni mfano wa watu wanaopenda umoja!! na umoja wenyewe ndio huo wahuni wachache wanoudodosoa.
waende zao hao
 
AFTER ZANZIBAR REFERENDUM COMES: Constitution dilemma Tuesday, 10 August 2010 22:23



By Bernard James and Beatus Kagashe
THE CITIZEN

The constitutional amendments in Zanzibar on Monday evening, which redefined its territory as a sovereign state within the United Republic of Tanzania, have reignited the controversy over the future of the Union.

Constitutional experts faulted the changes endorsed by the House of Representatives, which they charged, were "meant to neutralise the Union, if not to kill it systematically".

With the Constitution of the United Republic proclaiming Tanzania to be a country resulting from the merger of Tanganyika and Zanzibar, as the one and only sovereign state, the experts were of the opinion that the recognition of Zanzibar as a state would "steal Tanzania's statehood". And they warned that this could herald the break-up of the United Republic of Tanzania.

An extraordinary session of the House of Representatives on Monday evening overwhelmingly passed 10 amendments, which also paved the way for the formation of a government of national unity in Zanzibar after October 31 General Election.

According to the amendments, Sections 1 and 2 of the Zanzibar Constitution, which previously identified Zanzibar as part of the United Republic of Tanzania, have been deleted.

The changes redefine Zanzibar is a state formerly known as the ‘People's Republic of Zanzibar' with its territory composed of Unguja, Pemba and all the small surrounding islands, as it was before the 1964 merger with Tanganyika.

Moving the Constitutional Amendment Bill, the State Minister (Constitution and Good Governance), Mr Ramadhani Abdallah Shaaban, said: "The new clause stipulates that Zanzibar is among the two countries that form the United Republic of Tanzania."

But a senior law lecturer at the University of Dar es Salaam, Dr Sengondo Mvungi, described the amendment as the biggest threat ever to the existence of the United Republic of Tanzania. He explained that the House of Representatives had disregarded the laid-down procedure by altering constitutional provisions touching on the Articles of the Union.

Dr Mvungi cited Article 98 (b) of the Union Constitution. Under the article, any Bill for an Act to alter any provisions of the Constitution or any provision of any law relating to any of the matters specified in List Two of the second schedule to the Constitution shall be passed only if it is supported by the votes of not less than two-thirds of all Members of Parliament from Tanzania Mainland and not less than two-thirds of all MPs from Tanzania Zanzibar.

And the matters specified in List Two, which require to be supported by two-thirds of all MPs from Mainland Tanzania and two-thirds of all MPs from Zanzibar, include the existence of the United Republic of Tanzania.

"This article of the Constitution cannot be altered by the Zanzibar House of Representatives alone. They have totally no mandate or authority on this issue," Dr Mvungi said.

He also pointed out that the fact that President Jakaya Kikwete had already dissolved Parliament in readiness for this year's elections, meant there was no room to initiate such changes.

Contacted for comment last evening, State Minister Shaaban strongly defended the amendments, saying they were meant to emphasize Zanzibar's position as a partner state in the United Republic and not a part of the Union Government.

"The United Republic is nation. The amendment means that Zanzibar is a second country forming the union between Tanganyika and Zanzibar. What we have done is to confirm our state boundaries," he said.

For his part, Dr Mvungi said that declaring Zanzibar one of the two countries that form the United Republic of Tanzania was to change the structure of the Union to form a confederal authority between the people to Zanzibar and Tanganyika.

"This means that Tanganyika retains its sovereignty and statehood and so does Zanzibar. So you form a confederation. The statehood automatically moves out of that the United Republic of Tanzania and goes to Zanzibar and Tanganyika," he explained.

"If the amendments are implemented there is not going to be a united republic of Tanzania. The nation has broken up," he said in a conversation with The Citizen on Monday before the Zanzibar approved.

Zanzibar's Attorney General could not be reached for comment yesterday, but a senior official in his Chambers said the amendments were the 10th on the Zanzibar Constitution. The changes, he clarified, only affected the Zanzibar Constitution and had nothing to do with the Union.

When The Citizen pointed out that the amendment of Union matters needed approval by two-thirds of the MPs from both Tanzania Zanzibar and Mainland Tanzania, Mr Saleh Mbarouk, said: "The interpretation of the changes will be given by the Attorney General. What I know is that members of the House of Representatives are not forbidden to pass such amendments."

But the Union Government's Deputy Attorney General, Mr George Masaju, contacted in Dar es Salaam to comment on the developments, said he had not seen the final draft of the Bill passed in Zanzibar on Monday.

"I'm hesitant to address this matter, as I have not seen the final draft. Give me time to find out what exactly has been passed by the House of Representatives in order to comment on the issue," he said.

Another lawyer, who asked not to be named because of the sensitivity of the matter, said the changes had violated the Constitution. He said Article 98 (b) of the Union Constitution stipulated the procedure for effecting amendments touching on the existence of the United Republic.

"Strictly speaking, such changes do not any value in the eyes of the law. They actually do not exist. They are unconstitutional," he said.

The president of the Tanganyika Law Society (TLS), Mr Felix Kibodya, speaking in his personal capacity, said although he strongly supported the reconciliation process that had culminated in the constitutional changes, the declaration that "Zanzibar is a state has gone beyond the aim of bringing Zanzibaris together".

He said that for the changes to have any legal authority, they must be endorsed by the Parliament of the United Republic of Tanzania, as specified in Article 98 (b).

"My understanding is that for the amendments making Zanzibar a state to have legal effect, they must have the blessings of parliamentarians from both sides through a procedure stipulated in our constitution," he said.

He added: "How can Zanzibar be a state without a commander-in-chief of the armed forces? How can it be a country without defence minister, Inspector General of Police or a foreign minister?"

He said though it was crucial to bring about peace and unity in the Isles, this should not come at the expense of the Union. "Zanzibar is a part of the United Republic of Tanzania," he insisted.

Under the newly amended Zanzibar Constitution, the Isles' President has been given powers to mark the territory's borders without consulting the Union Government.

According to the laws enacted by the House of Representatives, for effective implementation of government responsibilities, the Zanzibar leader is also empowered to divide the Isles into regions, districts and other areas.

Additional reporting by Salma Said, Zanzibar
 

Mkandara

Mjadala mkuu unahusu uhaini wa Zanzibar kama ulivyoletwa na mwanakijiji, tuujadili huo, tusiende pembeni sana

Sawa baada ya yooote hayo uliyosema, swali rahisi tu linakuja hapa, Je nchi ni nini? na serikali ni nini? halafu je Zanzibar ni nchi ama si nchi? Kama jibu ni Zanzibar ni nchi, je ina mipaka au haina? kama inayo je ina haki ya kuitangaza na kuilinda au haina? kwa kila jibu lako eleza kwanini?
 
Union should just go to hell! After all it benefits zanzibaris more than tangayikas (tanganyikans?)

it is a big lie, big hoax it has no evedence. Where is the documents stating the unification of unguja, pemba and tanganyika?
 
Sasa hawa wahuni wa Zanzibar wamepata wapi ujasiri wa kuridhia kuligawa taifa na kutengeneza nchi nyingine nje ya hii NCHI moja? Kuna njia moja tu ya kuunda Nchi ya Zanzibar- KUJITOA kwenye MUUNGANO. Nje ya hapo ni UHAINI!!!

MImi kama Mtanzania kauli kama hizi ni za kichochezi . Watanzania ni watu wastaarabu hawana kauli kama hizi . Kwa fikra zangu hapa kuna harufu ya watu kuchukia jamii nyengine kwa imani yao na hawa ndio wanaoipeleka nchi kubaya kwa chuki zao.
Dunia imebadilika ni lazima ubadilike.
Muungano haujengwi kwa kuitana mahaini na kutoleana lugha za vitisho . Nyinyi ndio mnaovunja Muungano. Sielewi niwaweke katika kundi gani.????
 

Historia hujirudia. Nina wasiwasi kabla ya ndoto hii kutimia jamaa atakuwa kishavujisha siri hiyo huku bara. Watu kwa kujikomba si mchezo walimfanya Jumbe ampumzike mapema pasipo ridhaa yake.
 

utabiri wa nyerere sasa unatimia. Kubuka mwalimu alisema zanzibar kwa ulevi wa madaraka wakiaamua kuuvunja muungano. Kwa ulevi tu. Watakapofanikiwa hawatabaki salama. Wataanza wao wapemba sisi waunguja. Baadaye wa takuta wazanibari na wazanzibara!!!!!!!!!!!!!!!!. kazi ipo.
 
Ningekuwa na uwezo hivyo visiwa ningevisumia mbali ya pwani ya tanganyika
 


As I said, Mahafidhina wako pande zote, Zanzibar na Tanganyika pia....

omarilyas
 

Kura iliyopigwa ilikuwa ya kuruhusu serikali ya mseto znz sasa sijui hili liingia wapi? naunga mkono kabisa kwamba Ipo siku hawajamaa watakuja jitoa
 
ikiwa muungano utafunjika basi nahisi big looser watakuwa ni wapemba kwasababu hawa watu hawajengi kwao kule kisiwani pemba hakuna watu ni empty land ,siku zote ni watu wa kutapakaa kama gyspy.hawa ambao wapo bara watakimbilia unguja.sasa waunguja nao watasema rudini kwenu yakhe.
matokeo yake tutakuwa na nchi ya unguja ,pemba ,na tanganyika .well ipo haja ya kuwa na serikali nne ili kuondoa matatizo ya muungano .kwasababu tayari ipo chuki kati ya waunguja na wapemba .na vile vile kati ya wapemba na wabara.hakuna chuki kati ya waunguja na wabara kwababu wana histry.
 

Is this the home of great thinkers, or is the botomless Pit of rubbish Spiters?? Someni bandiko la mwanakijiji na kuingia kwenye mjadala kama mko fiti kwenye Historia na Filosofia.

Nyie mnaoshabikia Zanzibar kujitenga ina maana nyie (wanyakyusa,Waha, Wanyamwezi, wabarabaig, wanyia, na wengineo) mna mahusiano ya karibu na Wazaramo na wangindo na wandengereko kuliko makabila hayo yalivyo na ukaribu na wazanzibar?

Hivi kabila la Mzee Karume Mnalijua??!!
 

Achana na habari ya makabila, hebu tuambie Zanzibar ni nchi au sio nchi? kwanini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…