Ni ubinafsi kuoa mke zaidi ya mmoja kwasababu kuna wanaume watakosa kwa upungufu wa wanawake

Riskytaker

Senior Member
Mar 14, 2024
147
662
Ni kama Mungu ameumba idadi sawà kati ya wanaume na wanawake. Kwa kuzingatia idadi ya wanawake na wanaume Tanzania na hata duniani kwa ujumla. Statistics zinaonesha wanaume ni 50.4% na wanawake ni 49.6% world wide.

Roughly unaweza kusema idadi ya wanawake na wanaume ni sawà japo Kuna deviation kidogo kwenye idadi.

Ukienda jela wanaume ni wengi, so hii inazid kutengeneza balance kwenye idadi. Manake ni kwamba kwa kila mwanaume mmoja anaingia mwanamke mmoja pia.

Simply ukioa wake wawili umekinzana na nature reflection yake Kuna mwanaume sehemu atakosa MKE directly. Possibility ya huyo Mwanaume kua gasho ni kubwa.

Ni vile tu thinking capacity ya majority of Africa iko chini Ila polygamy ni ubinafsi wa kijiangalia wewe pasi kuangalia maslahi ya watu wengine na future.

Imagine mwanaume anaoa wake 4 anajitapa chukulia kila mwanaume angefanya hivyo, then what Will happen next.

Tumia logics and facts kama Solomon alioa wake 1000 hii ilitokea kwa sababu ya namba za wanawake zilikua kubwa japo biblia hajia thibitisha.
 
Ni kama Mungu ameumba idadi sawà kati ya wanaume na wanawake
Kwa kuzingatia idadi ya wanawake na wanaume Tanzania na hata duniani kwa ujumla
Statistics zinaonesha wanaume ni 50.4% na wanawake ni 49.6% world wide

Roughly unaweza kusema idadi ya wanawake na wanaume ni sawà japo Kuna deviation kidogo kwenye idadi.

Ukienda jela wanaume ni wengi so hii inazid kutengeneza balance kwenye idadi

Manake ni kwamba kwa kila mwanaume mmoja anaingia mwanamke mmoja pia

Simply ukioa wake wawili umekinzana na nature reflection yake Kuna mwanaume sehemu atakosa MKE directly

Possibility ya huyo Mwanaume kua gasho ni kubwa.

Ni vile tu thinking capacity ya majority of Africa iko chini Ila polygamy ni ubinafsi wa kijiangalia wewe pasi kuangalia maslahi ya watu wengine.na future

Imagine mwanaume anaoa wake 4 anajitapa chukulia kila mwanaume angefanya hivyo then what Will happen next.

Tumia logics and facts kama Solomon alioa wake 1000 hii ilitokea kwa sababu ya namba za wanawake zilikua kubwa japo biblia hajia thibitisha
Unadhani hata mtu mmoja akioa wanawake wote wanaume waliobaki watakosa wanawake? Watakosa mke ila sio wanawake.

Siku wanaume tutakapokubali kuwa wanawake pia hubadili ladha, Hitted and Run tutakuwa huru sana, hata ukioa hutakuwa na ushamba wa uchi.
 
Sasa
Takataka hii umeandika, ili wanawake wapate waume atleast mwanaume uwe na wake wanne.

Wanawake wamejaa kibao single mbona hamuwaoi?

Takataka hii umeandika, ili wanawake wapate waume atleast mwanaume uwe na wake wanne.

Wanawake wamejaa kibao single mbona hamuwaoi?

Sawa.

Tuletee uwiano wa idadi za wanawake na wanaume walio katika umri wa ndoa(20-30)
Simply nature imetengeneza approximately balance ya idadi ya wanaume na wanake kwenye kila age
Deviation ipo kidogo sana
 
Ni kama Mungu ameumba idadi sawà kati ya wanaume na wanawake
Kwa kuzingatia idadi ya wanawake na wanaume Tanzania na hata duniani kwa ujumla
Statistics zinaonesha wanaume ni 50.4% na wanawake ni 49.6% world wide

Roughly unaweza kusema idadi ya wanawake na wanaume ni sawà japo Kuna deviation kidogo kwenye idadi.

Ukienda jela wanaume ni wengi so hii inazid kutengeneza balance kwenye idadi

Manake ni kwamba kwa kila mwanaume mmoja anaingia mwanamke mmoja pia

Simply ukioa wake wawili umekinzana na nature reflection yake Kuna mwanaume sehemu atakosa MKE directly

Possibility ya huyo Mwanaume kua gasho ni kubwa.

Ni vile tu thinking capacity ya majority of Africa iko chini Ila polygamy ni ubinafsi wa kijiangalia wewe pasi kuangalia maslahi ya watu wengine.na future

Imagine mwanaume anaoa wake 4 anajitapa chukulia kila mwanaume angefanya hivyo then what Will happen next.

Tumia logics and facts kama Solomon alioa wake 1000 hii ilitokea kwa sababu ya namba za wanawake zilikua kubwa japo biblia hajia thibitisha
Broh umetokea sayari ya Mars au?
 
Ni kama Mungu ameumba idadi sawà kati ya wanaume na wanawake
Kwa kuzingatia idadi ya wanawake na wanaume Tanzania na hata duniani kwa ujumla
Statistics zinaonesha wanaume ni 50.4% na wanawake ni 49.6% world wide

Roughly unaweza kusema idadi ya wanawake na wanaume ni sawà japo Kuna deviation kidogo kwenye idadi.

Ukienda jela wanaume ni wengi so hii inazid kutengeneza balance kwenye idadi

Manake ni kwamba kwa kila mwanaume mmoja anaingia mwanamke mmoja pia

Simply ukioa wake wawili umekinzana na nature reflection yake Kuna mwanaume sehemu atakosa MKE directly

Possibility ya huyo Mwanaume kua gasho ni kubwa.

Ni vile tu thinking capacity ya majority of Africa iko chini Ila polygamy ni ubinafsi wa kijiangalia wewe pasi kuangalia maslahi ya watu wengine.na future

Imagine mwanaume anaoa wake 4 anajitapa chukulia kila mwanaume angefanya hivyo then what Will happen next.

Tumia logics and facts kama Solomon alioa wake 1000 hii ilitokea kwa sababu ya namba za wanawake zilikua kubwa japo biblia hajia thibitisha
Kuna

1. Mapadri
2. Mashoga
3. Waliofungea jela
4. Wanajeshi Wanaokufa vitani
5. Ma monk wa ki budha
6. Ma jain
7. Baadhi ya madhehebu ya kihindu
8. Makhanithi
9. KATAA NDOA

kwa hayo makundi tu hapo tu apata nyongeza ya wanawake wengi mno ambao hawana wanaume wa kuwaoa SASA NIKIPIGA WENGI hauoni kwamba nakava nafasi za hayo makundi hapo juu?

Na kwanini tupangiane maisha?
 
Ni kama Mungu ameumba idadi sawà kati ya wanaume na wanawake
Kwa kuzingatia idadi ya wanawake na wanaume Tanzania na hata duniani kwa ujumla
Statistics zinaonesha wanaume ni 50.4% na wanawake ni 49.6% world wide

Roughly unaweza kusema idadi ya wanawake na wanaume ni sawà japo Kuna deviation kidogo kwenye idadi.

Ukienda jela wanaume ni wengi so hii inazid kutengeneza balance kwenye idadi

Manake ni kwamba kwa kila mwanaume mmoja anaingia mwanamke mmoja pia

Simply ukioa wake wawili umekinzana na nature reflection yake Kuna mwanaume sehemu atakosa MKE directly

Possibility ya huyo Mwanaume kua gasho ni kubwa.

Ni vile tu thinking capacity ya majority of Africa iko chini Ila polygamy ni ubinafsi wa kijiangalia wewe pasi kuangalia maslahi ya watu wengine.na future

Imagine mwanaume anaoa wake 4 anajitapa chukulia kila mwanaume angefanya hivyo then what Will happen next.

Tumia logics and facts kama Solomon alioa wake 1000 hii ilitokea kwa sababu ya namba za wanawake zilikua kubwa japo biblia hajia thibitisha
Fake statistics
 
We nature unaijua vizuri wewe au unamjua juma nature unachanganya na nature?

Nature sio mwanaume m'moja kwa mwanamke m'moja. Nature ni mwanaume m'moja na wanawake zaidi ya m'moja. Mwanamke m'moja hawezi kuyamudu mahitaji ya mwanaume pakee yake hata iweje.

Mwanamke ana mahitaji ambayo huwa hata yeye hayajui yanatokea wapi so anahitaji mwanaume aweze control akili yake ili aweze fanya vitu sawa sawa.

Upande wa pili mwanaume mahitaji yake kuna muda mwanamke anachemka kuyatoa hadi inabidi mwanaume awe mkorofi aanzishe vagi ndio mahitaji yatolewe.

Mwanaume akisema apende mwanamke m'moja tu anaweza pata kichaa na huyo mwanamke ataomba poo na atatamani kuwe na wanawake wengine wamsaidie.

Ushawahi sikia wanawake wanalalamika wanaume wanataka game kila muda hawawapi muda wa kupumzika, haujawahi ona wanawake wanalalamika mwanaume amzonga muda wote hampi privacy, haujawahi kusikia mwanamke analalamika kuelemewa na majukumu ya nyumbani muda wote?

Kwakifupi mwanamke m'moja hawezi kudeal na mwanaume pekee yake na akamtosheleza ndio maana ndoa za sasa hazina amani na furaha sababu tunafosi sana vitu ambavyo sio nature ya tamaduni zetu.

Mwanamke hataki kuwa na mke mwenza sababu wanawake wa sasa wanapenda sana mali na hofu ni kuona mpenda mali mwenzake akiwa kando yako wewe mwanaume maana anajua soon atazidiwa kete na kunyang'anywa kila kitu.

Ukitaka kuprove hili oa mke halafu baada ya muda maisha yakikaa poa tafuta mke mwenza uone huyu mpya atakavyokuwa comfortable kuingia kwenye ndoa na yule wa zamani atakavyokuwa na hofu hadi anaweza taka talaka hata kama dini na mila zinaruhusu.

Kimsingi kuoa mke m'moja ni dhamira ya mwanamke si takwa la mwanaume na tumekubaliana nalo tu sababu ya uzembe wa kiume wa kutaka kufurahisha wanawake kuwapa wanachotaka. Ila ndoa ya furaha na amani ni ya wake zaidi ya m'moja maana hata hizi za mke m'moja zinaandamwa na jini lile lile la mwanaume kuwa na wanawake huko nje na huku ameoa mke wa ndoa.
 
Unadhani hata mtu mmoja akioa wanawake wote wanaume waliobaki watakosa wanawake? Watakosa mke ila sio wanawake.

Siku wanaume tutakapokubali kuwa wanawake pia hubadili ladha, Hitted and Run tutakuwa huru sana, hata ukioa hutakuwa na ushamba wa uchi.

Mzee hakunaga neno "Hitted" kwenye English ni Hit, hitting, hit , hit. Basi.
 
We nature unaijua vizuri wewe au unamjua juma nature unachanganya na nature?

Nature sio mwanaume m'moja kwa mwanamke m'moja. Nature ni mwanaume m'moja na wanawake zaidi ya m'moja. Mwanamke m'moja hawezi kuyamudu mahitaji ya mwanaume pakee yake hata iweje.

Mwanamke ana mahitaji ambayo huwa hata yeye hayajui yanatokea wapi so anahitaji mwanaume aweze control akili yake ili aweze fanya vitu sawa sawa.

Upande wa pili mwanaume mahitaji yake kuna muda mwanamke anachemka kuyatoa hadi inabidi mwanaume awe mkorofi aanzishe vagi ndio mahitaji yatolewe.

Mwanaume akisema apende mwanamke m'moja tu anaweza pata kichaa na huyo mwanamke ataomba poo na atatamani kuwe na wanawake wengine wamsaidie.

Ushawahi sikia wanawake wanalalamika wanaume wanataka game kila muda hawawapi muda wa kupumzika, haujawahi ona wanawake wanalalamika mwanaume amzonga muda wote hampi privacy, haujawahi kusikia mwanamke analalamika kuelemewa na majukumu ya nyumbani muda wote?

Kwakifupi mwanamke m'moja hawezi kudeal na mwanaume pekee yake na akamtosheleza ndio maana ndoa za sasa hazina amani na furaha sababu tunafosi sana vitu ambavyo sio nature ya tamaduni zetu.

Mwanamke hataki kuwa na mke mwenza sababu wanawake wa sasa wanapenda sana mali na hofu ni kuona mpenda mali mwenzake akiwa kando yako wewe mwanaume maana anajua soon atazidiwa kete na kunyang'anywa kila kitu.

Ukitaka kuprove hili oa mke halafu baada ya muda maisha yakikaa poa tafuta mke mwenza uone huyu mpya atakavyokuwa comfortable kuingia kwenye ndoa na yule wa zamani atakavyokuwa na hofu hadi anaweza taka talaka hata kama dini na mila zinaruhusu.

Kimsingi kuoa mke m'moja ni dhamira ya mwanamke si takwa la mwanaume na tumekubaliana nalo tu sababu ya uzembe wa kiume wa kutaka kufurahisha wanawake kuwapa wanachotaka. Ila ndoa ya furaha na amani ni ya wake zaidi ya m'moja maana hata hizi za mke m'moja zinaandamwa na jini lile lile la mwanaume kuwa na wanawake huko nje na huku ameoa mke wa ndoa.
Mzee cheza na statistics nilizoweka hapo na reality DUNIA Huko watu wanacheza na namba wanalete hitimizo sio maneno matupu
 
Back
Top Bottom