Ni ubinafsi kuoa mke zaidi ya mmoja kwasababu kuna wanaume watakosa kwa upungufu wa wanawake

Takataka hii umeandika, ili wanawake wapate waume atleast mwanaume uwe na wake wanne.

Wanawake wamejaa kibao single mbona hamuwaoi?
Africa ujuaji mwingi halafu hatuna tunachokijua zaidi ya ngono tu yani mtu unabishana na demographic statistics kwa cheap points kama hizi, eti wanawake walio single sijui uliza mahospitalini watoto wanaozaliwa hivi hizi tafiti zenu uchwara mnazifanyia wapi, ndio mjue sasa hakuna cha nature wala nini bali ni propaganda tu za kuwanufaisha wanaume maana hiyo nature imeshawasaliti kwenye upande wa population
 
Africa ujuaji mwingi halafu hatuna tunachokijua zaidi ya ngono tu yani mtu unabishana na demographic statistics kwa cheap points kama hizi, eti wanawake walio single sijui uliza mahospitalini watoto wanaozaliwa hivi hizi tafiti zenu uchwara mnazifanyia wapi, ndio mjue sasa hakuna cha nature wala nini bali ni propaganda tu za kuwanufaisha wanaume maana hiyo nature imeshawasaliti kwenye upande wa population
Wewe si ndio yule dada mjuwaji? Siwezi kukushangaa umepungukiwa homoni za kike.
 
Wanawake wapo sawa na wanaume? Hizo tafiti huwa mnafanyia wapi? Kuweni na aibu basi.

Unajua kwamba kuna makabila hapa duniani akizaliwa mtoto wa kiume familia inajishindia mamilioni?

Wanaume ni wachache hawapo sawa Wala wengi kwa wanawake. Ukishindwa kabisa kufanya tafiti zako andika hata google watakusaidia.
 
Wanawake wapo sawa na wanaume? Hizo tafiti huwa mnafanyia wapi? Kuweni na aibu basi.

Unajua kwamba kuna makabila hapa duniani akizaliwa mtoto wa kiume familia inajishindia mamilioni?

Wanaume ni wachache hawapo sawa Wala wengi kwa wanawake. Ukishindwa kabisa kufanya tafiti zako andika hata google watakusaidia.
Mzee tumia logics and facts
Wanawake wapo sawa na wanaume? Hizo tafiti huwa mnafanyia wapi? Kuweni na aibu basi.

Unajua kwamba kuna makabila hapa duniani akizaliwa mtoto wa kiume familia inajishindia mamilioni?

Wanaume ni wachache hawapo sawa Wala wengi kwa wanawake. Ukishindwa kabisa kufanya tafiti zako andika hata google watakusaidia.
For Tanzania Kuna wanaume 30m na wanawake 31.7m simply hio ndo ratio.

Chukulia kila mwanaume aoe wanawake wawili kwa miaka then what Will happen next. Simply ni shortage of female finally shortage of marriage
 
Mzee tumia logics and facts

For Tanzania Kuna wanaume 30m na wanawake 31.7m simply hio ndo ratio.

Chukulia kila mwanaume aoe wanawake wawili kwa miaka then what Will happen next. Simply ni shortage of female finally shortage of marriage
Kama unataka facts na logic basi jifunze kuwa smart.

Kwenye maelezo yako umeandika Tanzania na hata duniani kwa ujumla kitu ambacho sio kweli.

Ungespecify Tanzania ungeeleweka ila sio duniani.
 
Back
Top Bottom