Ni tatizo la wasomi walio wengi

Wakukaya2

Member
Apr 26, 2023
75
87
Reading without reflection is like eating without digestion.

Wanaojiita wasomi wengi ni tatizo, nilimaliza DUCE mwaka 2016 nikaanza kutembea na cheti kudhalilika kuomba kazi, nikalaumu sana serikali kwa kusitisha ajira, kimsingi mikaa nikajiuliza hivi kweli kila atakae hitimu kwa wingi huu wa vyuo serikali itamuajiri nikaona haiwezekani, nikaona serikali ni kundi sogo sana la watu kwenye watu wengi hivyo hawawezi maliza matatizo ya wengi na sisi raia ni wengi ndio tunauwezo wa kumalizia matatizo

Nikakumbuka msemo wa rais Yule wa Marekani Alie sema ask not what your government will do for you but ask yourself what you will do for your government. Nokarudi kwenye kozi zangu na vitabu vyangu nikajiuliza hivi katika nilivobisoma na kujifunza. Toka shule msingi Hadi chuo kikuu tena kama mwalimu wa uchumi na history

Sina Cha kutumia kikanikwamua, nikaona ni zile shughuli za ziada pale shule ya msingi na sekondari, japo ilikuwa silend. Kazi za nje na zamu wakati wa likizo. Nikatoka Dar nikarudi Mtwara,

Nikapambana na boom lile nilitumza kidogo nikanunua plastic 100 zilizokawekwa rangi za kupaka majumbani nikaona kwetu Kuna tatizo la sehemu za kuhifadhia maji, kweli nikauza plastic 100 nilimpoza mkandarasi mmoja pale Newala, kila Moja 2000tshs nikaenda uza kwa elfu 8000tshs zote.

Leo ninamtaji mkubwa nimejenga kigamboni nyumba mzuri ya kifahari, Nina mashamba ya mikorosho, na hivi ninapoandika nipo kwenye gari napita Masasi naenda kuvuna mahindi Tunduru, jamii forums mulipo lalamika kuhusu kupanda bei za vyakula na Mimi nikaona ni fursa kulima, nawashukuru na ninawaomba muendelee kulalamika ili nizione fursa

Cheti yangu DUCE sijachukua, Sina mpango wa kukichukua, maana mnachotafuta nyinyi wakati wa ajira na baada ya ajira tayari ninacho, na tayari Nina vijana wa nne ninafanya nao kazi ili na wao wajikwamue.

Nashukuru serikali kwa kujenga miundombinu ya elimu na kunifanya Mimi kuwa conscious. When people complaining opportunity comes
 
Reading without reflection is like eating without digestion.

Wanaojiita wasomi wengi ni tatizo, nilimaliza DUCE mwaka 2016 nikaanza kutembea na cheti kudhalilika kuomba kazi,

Huna ushauri wowote kwa waliong'ang'ania ajira huko serikalini kama Mali za familia?



Usije kuwa mmoja wao na hapa upo kuwacheza wengine shere?
 
Reading without reflection is like eating without digestion.

Wanaojiita wasomi wengi ni tatizo, nilimaliza DUCE mwaka 2016 nikaanza kutembea na cheti kudhalilika kuomba kazi, nikalaumu sana serikali kwa kusitisha ajira, kimsingi mikaa nikajiuliza hivi kweli kila atakae hitimu kwa wingi huu wa vyuo serikali itamuajiri nikaona haiwezekani, nikaona serikali ni kundi sogo sana la watu kwenye watu wengi hivyo hawawezi iundombinu ya elimu na kunifanya Mimi kuwa conscious. When people complaining opportunity comes
Kwa hiyo kuuza hizo plastic 100 ndio umekuwa millionea?
Sound hizoo...
 
So ulianza na biashara y plastic?

Wengi tunapenda kuzunguka kwenye kiti au kuchezea computer ofisini wee vipi tuache...😂😂
 
Posible wakuu mm kama mliwahi ona thread yangu mwaka juzi niliomba koneksheni humu ya kupata FIELD tu. Na nkamaliza chuo sina hili wala lile.. boom lilishaishaga kitambo tu. Nkajichanganya kariakoo kama profeshino winga. Miez miwili nyuma nilip[ata kazi ya kujifunza INTERN hapa kwa masaki kwa mzee mmoja hiv alisoma na wazee wangu kitambo.

Kazi ya uwinga sijaiacha kwani kila siku naweza kupata walau elf 12 ya kusogeza maisha na wikend nakuaga kariakoo kujiongeza. Elimu yetu hii mtaani haina kitu kipya... cha muhimu ni kukubali kwanza kama hakuna uwezekano wa kila anaemaliza KUAJIRIWA. kufikiria ajira kila siku&Saa kunafunga ufahamu. na huwezi kuona fursa nyingine.. USikiache kilicho mbele yako UNLESS kama huna uwezo nacho.
 
mkandarasi mmoja pale Newala, kila Moja 2000tshs nikaenda uza kwa elfu 8000tshs zote.
HILI GAP HILI
Leo ninamtaji mkubwa nimejenga kigamboni nyumba mzuri ya kifahari, Nina mashamba ya mikorosho,
Uzi umeenda fasta kutoka dumu moja mpaka Nyumba ya kifahari
 
Back
Top Bottom