Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,193
Uendeshaji wao ni wa hovyo kabisa na hauzingatii sheria na kanuni za barabarani.
Sauli hununua askari wowote wanaokuwepo zamu siku husika katika usalama barabarani kuanzia Igawa hadi Tunduma na hutoka mtu maalum na gari ndogo Mbeya Mjini kwa ajili ya wao wanachokiita kusafisha njia.
Narudia, Sauli na New force ni janga litarajiwalo huko Kusini mwa Tanzania.
Sauli hununua askari wowote wanaokuwepo zamu siku husika katika usalama barabarani kuanzia Igawa hadi Tunduma na hutoka mtu maalum na gari ndogo Mbeya Mjini kwa ajili ya wao wanachokiita kusafisha njia.
Narudia, Sauli na New force ni janga litarajiwalo huko Kusini mwa Tanzania.