Sauda
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 860
- 1,106
-Iwe ndogo kwa muonekano.
-Yenye uwezo wa kuangalia video Youtube na kwingine bila shida yoyote.
-Kamera yake iwe tamu.
-Yenye uwezo wa kudownload vitu mbalimbali e.g Video, Games, Apps e.t.c bila tatizo.
Niambieni tu ni simu ya aina gani yenye sifa hizo, sitaki mtu wa kuniuzia, Nataka siku nikienda dukani nijue wapi pa kuanzia.
Siku za nyuma nilikuwa na nokia asha 201, na ilinifaa sana.
Ila sasa nataka kubadili mazingira, nataka nzuri zaidi...
cc; CHIEF MKWAWA
-Yenye uwezo wa kuangalia video Youtube na kwingine bila shida yoyote.
-Kamera yake iwe tamu.
-Yenye uwezo wa kudownload vitu mbalimbali e.g Video, Games, Apps e.t.c bila tatizo.
Niambieni tu ni simu ya aina gani yenye sifa hizo, sitaki mtu wa kuniuzia, Nataka siku nikienda dukani nijue wapi pa kuanzia.
Siku za nyuma nilikuwa na nokia asha 201, na ilinifaa sana.
Ila sasa nataka kubadili mazingira, nataka nzuri zaidi...
cc; CHIEF MKWAWA