Ni simu gani ya button yenye sifa hizi

Kama ni za kkoo asante, nilienda na mimi ni za kichina copy.
za kichina zimeandikwa kbsa CA-101 made in china, hii ni Thailand,
pili za kichina ukiconnect nokia pc suit zina ukitaka zina detect kwa sekunde halaf zina disconect,

hizo za kichina zipo na wanaweka kwenye vijinailoni vyeupe, og zipo nje tuu na eithe n thailand au vietnam
 
za kichina zimeandikwa kbsa CA-101 made in china, hii ni Thailand,
pili za kichina ukiconnect nokia pc suit zina ukitaka zina detect kwa sekunde halaf zina disconect,

hizo za kichina zipo na wanaweka kwenye vijinailoni vyeupe, og zipo nje tuu na eithe n thailand au vietnam
Unaweza ukanielekeza eneo kabisa uliponunulia? Sio mbaya nikajaribu mara ya pili.
 
Unaweza ukanielekeza eneo kabisa uliponunulia? Sio mbaya nikajaribu mara ya pili.
kama unaelekea msimbazi kuna maduka mawili ya wahindi wanauza old phones, sasa huyu wa kwanza ambaye hua anachanganya na new models kdg, SIO yule wa pili anayeuza old tu tena nying nying, japo waweza jarb.

Hakikisha ni CA-101 made in thailand/vietnam, ukikosa pale kama unaenda gerezan kuna mbongo nae anauzaga old models za mtumba nae nilichukuaga moja kwake japo ndio ilikua ya mwisho, hawa wazee wa tecno tarajia kuona CA-101 Made in china na ukiiona kama og kbsa hasa kama hujui og yake
 
kama unaelekea msimbazi kuna maduka mawili ya wahindi wanauza old phones, sasa huyu wa kwanza ambaye hua anachanganya na new models kdg, SIO yule wa pili anayeuza old tu tena nying nying, japo waweza jarb.

Hakikisha ni CA-101 made in thailand/vietnam, ukikosa pale kama unaenda gerezan kuna mbongo nae anauzaga old models za mtumba nae nilichukuaga moja kwake japo ndio ilikua ya mwisho, hawa wazee wa tecno tarajia kuona CA-101 Made in china na ukiiona kama og kbsa hasa kama hujui og yake
Nampata huyo mhindi, shukran mkuu.
 
Band zake hizi hapa

2G Network : GSM EDGE 850, 900, 1800, 1900 MHz
3G Network : UMTS HSDPA UMTS 850, 1900, 2100 MHz
4G Network : FDD-LTE 700, 800, 850, 1800, 2100 (Band 1, 3, 17, 26

Haitasumbua.
Shukrani
 
Ni maeneo gani mkuu hiyo kama unaenda msimbazi ukiwa unatokea wapi msaada chief
Ukitoka msimbazi na uhuru kama unaenda kituo cha polisi angalia mkono wa kushoto kuna duka fulani la mhindi anauza vitu vya kizamani kama simu, saa etc duka kubwa lina vikorokoro vingi sana.
 
Chief-Mkwawa
Nimeiangalia Infobar Xv bei yake si rafiki sana kwangu, inacheza kwenye $560 - $650 (wastani wa zaidi ya milioni moja)
hakuna simu nyingine unayoifahamu, maana hiyo naona iko juu sana.
 
Mimi natumia hii simu achana nayo utajutia hela zako
1. Msg zinazingua mara zisije mara zinachelewa
2. Os nzito kama android za zamani
3. Wanaforce kutumia full browser badala ya mobile optimized browser hasa zile mini kama vile opera mini na uc mini.
4. Apps chache last time store ilikuwa na app chini ya 100 tu hata sijaangalia sasa hivi.
5. Hizo apps chache nyingi ni buggy na hazipo optimized.

Bila kusahau google ni sugar daddy wa kai os sasa hivi.
Mkuu nataka kununua hii simu! Matumizi ni ya kawaida ya kupiga na kupokea simu. Pia ningependa nitumie whatsapp kwa ajili ya shughuli za hapa na pale.
 
Mkuu nataka kununua hii simu! Matumizi ni ya kawaida ya kupiga na kupokea simu. Pia ningependa nitumie whatsapp kwa ajili ya shughuli za hapa na pale.
Jaribu hizi za mitandao ya simu (smart kitochi) wanauza 40,000 mpaka 50,000 uone na wewe kama utazipenda.
 
Back
Top Bottom