Sauda
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 860
- 1,106
- Thread starter
- #41
Asante ndugu, Mimi shida yangu hasa ni Youtube na Kamera.Simu za symbian zinafaa sema utatakiwa kui tweak kidogo na sidhani kama upo comfortable kufanya hivyo. Kwa kutumia custom rom kama delight ndio simu yako itakuwa usable.
Apps nyingi za symbian certificate zake zimeisha muda hivyo simu itahitaji iwe na custom certificate.
Ila kwa matumizi ya kawaida kama youtube, games za hapa na pale, camera etc zinafaa.
Kama unataka camera simu kama n86 inafaa
Ina xenon flash, 8mp camera etc kifupi utazipita simu nyingi za laki 5 kushuka kwa camera.
Kuzipata ndio shughuli ila ebay mara nyingi zipo chini ya laki.