Ni sawa wizara kutumia kodi ya wananchi kutumika kwenye mazishi ya Kanumba?

uongoz mbovu vichwa matope,mbwembwe za nin kwa mfu na wajawazito wanalala chin watazaliwa kina kanumba wengi tu,kesho utaskia familia wakigombania
 
Tuache kuwa EMOTIONAL DRIVEN kama wanawake, serikali IMEKOSEA. Kanumba was just an individual na alichofanya si jambo linalokubalika na kila mtu.

1. The so called FILAMU kwa sasa imekuwa ndio kitovu cha uhuni na uasherati mkubwa kama huu uliopelekea kifo chake (Sipongezi, zinaharibu akili zenu)

2. Huyu anayesema msiba wa Kanumba umewagusa wengi, hicho si kigezo. Magazeti ya SHIGONGO yanasomwa na karibu wanawake wooote waliofeli form 4 na wasio na mwelekeo, je hicho ni kigezo kuwa UWAZI na IJUMAA ndio magazeti bora hapa Tanzania? (Lipime wewe mwenyewe kama una akili timamu)3. Allocation ya fedha za serikali ina taratibu zake.

Ikiwa leo kafa Kanumba 15m, kesho (kwa mfano, Mwenyezi Mungu aepushie mbali) akafa Juma Kaseja, serikali isipotoa 15m tutawaelewa?Nionavyo mimi: Kuwa msanii hakumlazimishi mtu awe MUHUNI. Ukisoma headlines za magazetu yenu haya ya UDAKU utaona jinsi yalivyopambwa na habari za Fulani na Fulani wamelala chumba kimoja Nairobi, Uwoya kafumaniwa na mume wa mtu, Sijui nani kabakwa, yaani ni full upuuzi.

Ikiwa haya ndio mnayoyaita maendeleo leo hii tukiwa wabovu kiuchumi kama nchi, basi tuna safari ndefu.Wasanii wafanye sanaa na sio uhuni. Umaarufu kunuka huo mnaojivunia kwa kuwa nje ya nyumba za baba zenu saa 8 usiku ndio matokeo yake haya. Mtoto wa miaka 18 ana mabwana 6 hadi anawaua wengine kwa presha halafu mniambie mimi nikiwa na akili zangu timamu bila pombe, ETI HAYO NI MAFANIKIO KWA TANZANIA, nyooo! Kwendeni zenu huko

Mkuu umenena kweli kabisa. Watu wanashabikia mambo ambayo hayana msingi kabisa. Ni kweli nakubaliana kuwa kanumba alikuwa msanii maarufu na alijitahidi kadri ya uwezo wake kuinua sanaa ya filamu nchini. Lakini hii haihalalishi maisha machafu aliyokuwa anaishi yeye na wasanii wenzie walio hai na hivyo kuhalalisha matumizi makubwa ya fedha za serikali kwenye mazishi yake. Wote tunajua kuwa MSANII NI KIOO CHA JAMII!

Nani ana ujasiri wa kusema wazi kuwa maisha ya Kanumba yalikuwa kama kioo kwa jamii anayoishi! Kanumba alianza kuigiza na Lulu akiwa binti mdogo sana! Huwezi kukataa kuwa ujasiri wa haka kabinti kuwa na mabwana lukuki kaliupata kutoka kwa wasaani waliokuwa wanakazunguka toka kalipojiingiza kwenye tasnia ya filamu akiwemo Kanumba mwenyewe! Kwa hiyo namshangaa sana mtu anayesema bila aibu kuwa kanumba ALIELIMISHA JAMII!

Kwa lipi hasa!? Tusifiche ukweli kwa kuogopa maiti! The fact ni kwamba wasaani wanaishi MAISHA MACHAFU! tena sana!Kama tusingekuwa wanafiki viongozi wetu wangetumia msiba wa Kanumba kutoa speech zenye kuwakemea wasaani kutoka na LIFE STYLE yao mbovu! Lakini matokeo yake wameutumia KUJIPENDEKEZA KISIASA KWA KUDHANI KUWA WATARUDISHA IMANI YA WANANCHI KWA LI-CHAMA LAO LILILOKOSA MVUTO!

NON SENSE! Hebu fikiria kuwa TBC iko hatarini kufungwa kwa ukosefu wa fedha za kuindesha, lakini leo hii Wizara hiyo hiyo inatoa 15m kwa msiba wa mtu aleyekufa akizini, kama sio laana ni nini????
 
Tuache kuwa EMOTIONAL DRIVEN kama wanawake, serikali IMEKOSEA. Kanumba was just an individual na alichofanya si jambo linalokubalika na kila mtu.
1. The so called FILAMU kwa sasa imekuwa ndio kitovu cha uhuni na uasherati mkubwa kama huu uliopelekea kifo chake (Sipongezi, zinaharibu akili zenu)
2. Huyu anayesema msiba wa Kanumba umewagusa wengi, hicho si kigezo. Magazeti ya SHIGONGO yanasomwa na karibu wanawake wooote waliofeli form 4 na wasio na mwelekeo, je hicho ni kia

acha matusi wewe,alaf nmefundua una uwivu sana kama demu wangu..
alaf umewadhalilisha sana wasichAna..
ishapta,ashazkwa kifalme na pia ameshapewa hizo pesa..roho ikuuuuuuuuuuume mpaka ufe ****** wee..
 
Kitendo kilichofanyika ni cha busara,kubali ukatae Kanumba amewasaidia kwa njia moja ama nyingine vijana wengi kujiajiri kwa sababu ya kazi zake na pia amelitangaza soko la nchi yetu(la filamu) kwa kiasi kikubwa.usiwe mtu wa kupinga tu mambo ndugu yangu kama kusoma huwezi hata picha huoni,hawezi kuwa kama wewe kiukweli vinhinevyo uniambie ni nin ulishafanya kwa nchi yako chenye manufaa kimataifa


SIKUBALINA NA HOJA YAKO, kwa hiyo busara hiyo inatumika kwa Kanumba peke yake? kwani unayoorodha ya waTZ wote ambao wamesaidia vijana ili kuhakikisha kila mtu anatendewa sawa? Kimsingi huko ni kukurupuka kwa Serikali ikitaka umarufu, sio haki maana waTZ wengi tu wamefanya kazi nzuri kwa nchi na vijana bila hiyo hisani ambayo ni hisia za mtu mmoja au kikundi chenye maslahi na ubatilifu huo.

Wakati anasaidia ulikuwa mpango wa serikali au mipango na faida yake? hata ukifungua hotel ukawapa vijana ajira tayari umesaidia, je serikali itakuwa uniform kwa watu wa namna hiyo wote hapa TZ, kama haiwezi kuwa uniform basi alichofanya waziri ni ubatili mtupu. AKOME
 
Kichwa chako bado ni kizuri naomba mungu kiendelea kuwa hivi miaka 100 ijayo, WaTZ wengi chini ya serikali ya CCM wanataka umarufu bila jasho. Na serikali ikome kutumia kodi zetu kufanya upuuzi kama huo badala ya kukemea hako ka under 18 kuwa na mahusiano ya kimapenzi, kwa hili hata kama Kanumba amekufa, sioni cha kujifunza kutoka kwake.
 
Mkuu umenena kweli kabisa. Watu wanashabikia mambo ambayo hayana msingi kabisa. Ni kweli nakubaliana kuwa kanumba alikuwa msanii maarufu na alijitahidi kadri ya uwezo wake kuinua sanaa ya filamu nchini.

Lakini hii haihalalishi maisha machafu aliyokuwa anaishi yeye na wasanii wenzie walio hai na hivyo kuhalalisha matumizi makubwa ya fedha za serikali kwenye mazishi yake. Wote tunajua kuwa MSANII NI KIOO CHA JAMII! Nani ana ujasiri wa kusema wazi kuwa maisha ya Kanumba yalikuwa kama kioo kwa jamii anayoishi!

Kanumba alianza kuigiza na Lulu akiwa binti mdogo sana! Huwezi kukataa kuwa ujasiri wa haka kabinti kuwa na mabwana lukuki kaliupata kutoka kwa wasaani waliokuwa wanakazunguka toka kalipojiingiza kwenye tasnia ya filamu akiwemo Kanumba mwenyewe! Kwa hiyo namshangaa sana mtu anayesema bila aibu kuwa kanumba ALIELIMISHA JAMII! Kwa lipi hasa!? Tusifiche ukweli kwa kuogopa maiti! The fact ni kwamba wasaani wanaishi MAISHA MACHAFU!

Tena sana!Kama tusingekuwa wanafiki viongozi wetu wangetumia msiba wa Kanumba kutoa speech zenye kuwakemea wasaani kutoka na LIFE STYLE yao mbovu! Lakini matokeo yake wameutumia KUJIPENDEKEZA KISIASA KWA KUDHANI KUWA WATARUDISHA IMANI YA WANANCHI KWA LI-CHAMA LAO LILILOKOSA MVUTO! NON SENSE! Hebu fikiria kuwa TBC iko hatarini kufungwa kwa ukosefu wa fedha za kuindesha, lakini leo hii Wizara hiyo hiyo inatoa 15m kwa msiba wa mtu aleyekufa akizini, kama sio laana ni nini????

Kichwa chako bado ni kizuri naomba mungu kiendelea kuwa hivi miaka 100 ijayo, WaTZ wengi chini ya serikali ya CCM wanataka umarufu bila jasho. Na serikali ikome kutumia kodi zetu kufanya upuuzi kama huo badala ya kukemea hako ka under 18 kuwa na mahusiano ya kimapenzi, kwa hili hata kama Kanumba amekufa, sioni cha kujifunza kutoka kwake.
 
uongoz mbovu vichwa matope,mbwembwe za nin kwa mfu na wajawazito wanalala chin watazaliwa kina kanumba wengi tu,kesho utaskia familia wakigombania


Kama hoja ni kusaidia vijana kiajira huku akiwageuza wake zake, inatia huruma sana. Tufikirie kidogo je Mengi, Bakeresa, Diallo, Gachuma, Manji, Dewji, na wengine wa namna hiyo siku wakifa itakuwaje maana kama ni ajira pia wanamchango mkubwa kuliko Kanumba. Serikali itagharamia masiah yao na wajukuu wao wote? au?
 
tuache kuwa emotional driven kama wanawake, serikali imekosea. Kanumba was just an individual na alichofanya si jambo linalokubalika na kila mtu.
1. the so called filamu kwa sasa imekuwa ndio kitovu cha uhuni na uasherati mkubwa kama huu uliopelekea kifo chake (sipongezi, zinaharibu akili zenu)
2. Huyu anayesema msiba wa kanumba umewagusa wengi, hicho si kigezo. magazeti ya shigongo yanasomwa na karibu wanawake wooote waliofeli form 4 na wasio na mwelekeo, je hicho ni kigezo kuwa uwazi na ijumaa ndio magazeti bora hapa tanzania? (lipime wewe mwenyewe kama una akili timamu)
3. Allocation ya fedha za serikali ina taratibu zake. Ikiwa leo kafa kanumba 15m, kesho (kwa mfano, mwenyezi mungu aepushie mbali) akafa juma kaseja, serikali isipotoa 15m tutawaelewa?

Nionavyo mimi: Kuwa msanii hakumlazimishi mtu awe muhuni. Ukisoma headlines za magazetu yenu haya ya udaku utaona jinsi yalivyopambwa na habari za fulani na fulani wamelala chumba kimoja nairobi, uwoya kafumaniwa na mume wa mtu, sijui nani kabakwa, yaani ni full upuuzi. Ikiwa haya ndio mnayoyaita maendeleo leo hii tukiwa wabovu kiuchumi kama nchi, basi tuna safari ndefu.

Wasanii wafanye sanaa na sio uhuni. Umaarufu kunuka huo mnaojivunia kwa kuwa nje ya nyumba za baba zenu saa 8 usiku ndio matokeo yake haya. Mtoto wa miaka 18 ana mabwana 6 hadi anawaua wengine kwa presha halafu mniambie mimi nikiwa na akili zangu timamu bila pombe, eti hayo ni mafanikio kwa tanzania, nyooo! Kwendeni zenu huko
hapo nilopo bold
nazani unashidwa kujua kuwa mambo ya uasherati na uhuni mwingine ni swala la tabia ya mtu,ni watu wangapi maofisi wanalana mizigo?ni viongozi wangap wapo na kazi nyinmgine na wengine kaz hawana lakiniu bado ni wahuni wa kutupwa?
Pili,magazeti ya udaku hayasomwi na watu waliofail/kupata zero fom four au wasio na uelekeo wa maisha.kuna watu wasomi,na wenye heshima zao wanapenda hayo mambo ya "udaku" na wanasoma hayo magazeti,jaribu kuchunguza utapata jibu
 
Mkuu umenena kweli kabisa. Watu wanashabikia mambo ambayo hayana msingi kabisa. Ni kweli nakubaliana kuwa kanumba alikuwa msanii maarufu na alijitahidi kadri ya uwezo wake kuinua sanaa ya filamu nchini. Lakini hii haihalalishi maisha machafu aliyokuwa anaishi yeye na wasanii wenzie walio hai na hivyo kuhalalisha matumizi makubwa ya fedha za serikali kwenye mazishi yake.

Wote tunajua kuwa MSANII NI KIOO CHA JAMII! Nani ana ujasiri wa kusema wazi kuwa maisha ya Kanumba yalikuwa kama kioo kwa jamii anayoishi! Kanumba alianza kuigiza na Lulu akiwa binti mdogo sana! Huwezi kukataa kuwa ujasiri wa haka kabinti kuwa na mabwana lukuki kaliupata kutoka kwa wasaani waliokuwa wanakazunguka toka kalipojiingiza kwenye tasnia ya filamu akiwemo Kanumba mwenyewe! Kwa hiyo namshangaa sana mtu anayesema bila aibu kuwa kanumba ALIELIMISHA JAMII! Kwa lipi hasa!?

Tusifiche ukweli kwa kuogopa maiti!

The fact ni kwamba wasanii wanaishi MAISHA MACHAFU! tena sana! Kama tusingekuwa wanafiki viongozi wetu wangetumia msiba wa Kanumba kutoa speech zenye kuwakemea wasaani kutoka na LIFE STYLE yao mbovu! Lakini matokeo yake wameutumia KUJIPENDEKEZA KISIASA KWA KUDHANI KUWA WATARUDISHA IMANI YA WANANCHI KWA LI-CHAMA LAO LILILOKOSA MVUTO! NON SENSE!

Hebu fikiria kuwa TBC iko hatarini kufungwa kwa ukosefu wa fedha za kuindesha, lakini leo hii Wizara hiyo hiyo inatoa 15m kwa msiba wa mtu aliyekufa akizini!

Kama sio laana ni nini????


Great thinking!
 
bibi na babu kule kijijini hawajawai hata kutazama TV kwa sababu hakuna umeme kwa sera mbovu za serikali.
Je, wanafahamu kuwa kodi yao imetumika ktk ubani wa mtu anayesemwa kuwa ana mchango mkubwa TZ??
 
Nakuunga mkono, kwani una akili ndefu ya kuona mbali na si karibu, leo hii vijijini, watu hawana uhakika wa kula, hata robo kilo ya dona wameikosa na ndio wanoingiza pato kwa taifa.kama hawaamini njoo huku shinyanga vijijini utwahurumia watu.
 
Well said mkuu! Kwanza mara ngapi wapiganaji km askari walokwenda kagera na polisi wanaokufa in the line of duty hawapati fedha toka wizarani ktk mazishi yao! Wanaishia kusafirishwa bush tena wakati mwingine kwa kujichangia wao! Hivi hiyo mi hela ya mchezo huwa haipo! Mtu kabaka ka binti na kidhibiti kipo anapewa sifa kibaaao! Wajinga ndo waliwao.

Mkuu unajua uelewa wa majukumu na mipaka ya serekali ni mdogo kwa raia na hii ndio inaleta hizi loop holes za kufanya haya yanayotokea. Sidhani kama kiongozi wa serakali anayejali wajibu na sheria anaweza kutoa uamuzi kama anavyojisikia.
 
Tatizo limeanzia kwa mkulu anavyoperceive, posibly ni instruction toka kwake. Kanumba did his best lkn kiserikali hayo matumizi hayapo. Ndo wengine wanadai eti Lulu aachiwe. who is Lulu? Ulinzi ndicho ambacho ilikuwa jukumu lao. Anyway hao wasanii wanaongea na mkuu day n nite wat else do u expect?
Tuache kuwa EMOTIONAL DRIVEN kama wanawake, serikali IMEKOSEA. Kanumba was just an individual na alichofanya si jambo linalokubalika na kila mtu.
1. The so called FILAMU kwa sasa imekuwa ndio kitovu cha uhuni na uasherati mkubwa kama huu uliopelekea kifo chake (Sipongezi, zinaharibu akili zenu)
2. Huyu anayesema msiba wa Kanumba umewagusa wengi, hicho si kigezo. Magazeti ya SHIGONGO yanasomwa na karibu wanawake wooote waliofeli form 4 na wasio na mwelekeo, je hicho ni kigezo kuwa UWAZI na IJUMAA ndio magazeti bora hapa Tanzania? (Lipime wewe mwenyewe kama una akili timamu)
3. Allocation ya fedha za serikali ina taratibu zake. Ikiwa leo kafa Kanumba 15m, kesho (kwa mfano, Mwenyezi Mungu aepushie mbali) akafa Juma Kaseja, serikali isipotoa 15m tutawaelewa?

Nionavyo mimi: Kuwa msanii hakumlazimishi mtu awe MUHUNI. Ukisoma headlines za magazetu yenu haya ya UDAKU utaona jinsi yalivyopambwa na habari za Fulani na Fulani wamelala chumba kimoja Nairobi, Uwoya kafumaniwa na mume wa
 
Serikali haikurupuki, inazaidi ya ufikiriavyo. Kanumba ni msanii pengine kuna fungu la kuwazika hawawatu.
 
Uache dharau wewe!
Kwani wanawake waliofeli fomu 4 sio watanzania?
Kwa taarifa yako, magazeti ya Shigongo yanasomwa pia na watu makini, na km unadhani hao wanawake waliofeli fomu 4 sio wa maana, pesa wanatoa wapi kununulia magazeti hayo?
Jifunze kujenga hoja bila dharau.
Tuache kuwa EMOTIONAL DRIVEN kama wanawake, serikali IMEKOSEA. Kanumba was just an individual na alichofanya si jambo linalokubalika na kila mtu.
1. The so called FILAMU kwa sasa imekuwa ndio kitovu cha uhuni na uasherati mkubwa kama huu uliopelekea kifo chake (Sipongezi, zinaharibu akili zenu)
2. Huyu anayesema msiba wa Kanumba umewagusa wengi, hicho si kigezo. Magazeti ya SHIGONGO yanasomwa na karibu wanawake wooote waliofeli form 4 na wasio na mwelekeo, je hicho ni kigezo kuwa UWAZI na IJUMAA ndio magazeti bora hapa Tanzania? (Lipime wewe mwenyewe kama una akili timamu)
3. Allocation ya fedha za serikali ina taratibu zake. Ikiwa leo kafa Kanumba 15m, kesho (kwa mfano, Mwenyezi Mungu aepushie mbali) akafa Juma Kaseja, serikali isipotoa 15m tutawaelewa?

Nionavyo mimi: Kuwa msanii hakumlazimishi mtu awe MUHUNI. Ukisoma headlines za magazetu yenu haya ya UDAKU utaona jinsi yalivyopambwa na haba
 
Jamani mbona sijajibiwa swali langu?nauliza tena. Serikali ya marekani ilitoa sh.ngapi Michael Jackson au whitney houston walipokufa?

Ubalozi wa hao marehemu uko maeneo ya Drive In ya zamani, nenda pale kamuone mwambata wa utamaduni majibu anayo.
 
nchi hii inaongozwa kwa hisia kuliko itifaki . kwanza ebu fikiria IGP hAROON mAHUNDI, gENERAL ERNEST MWITA KYARO NA kANUMBA NANI MUHIMU KIITIFAKI?
UTAJUA NCHIII INAONGOZWAJE MJOMBA?????
Nimehuzunika sana na kifo cha mpendwa wetu na kijana mwenzangu Steve Kanumba.BUT kunakitu hakijaniingia akilini pale waziri wa vijana na utamaduni alipotangaza kwamba wizara yake itatoa sh.milioni 15 kwa familia ya kanumba,nilimshuudia kwa macho yangu kupitia tv.Then nilisoma gazeti la mtanzania nikakutana na habari inayosma 'serikali itagharamia mazishi yote ya kanumba.'.nauliza je hii bajeti hiyo inatolewa kwenye fungu gani la bajeti ya serikali ukizingatia Kanumba ni raia wa kawaida kama mimi ? Na je huyo waziri alitoa rambirambi yake binafsi?
 
Watanzania wa leo wamekua kila jambo kutazama kwa ubaya tu, mi sioni tatizo kwa Nchimbi kutoa rambi rambi kiasi hicho cha pesa. Na ni kweli kifo cha Kanumba kimegusa watu wengi sana ndani na nje ya nchi, sasa leo mtu akatokea na kusema haoni mchango wa Kanumba kwa lolote lile mi sikubaliani nae, Wasigejitokeza watu wengi kiasi kile na hata wengine kukaa kwenye tv zao na kuangalia. Tuache UNAFIKI angekua Kanumba ni ndugu yako wala usingetoa kauli ya namna hiyo, si ajabu ungeishukuru serikali kwa kushirikiana nanyi kwenye msiba na kutoa michango ya namna hiyo.
 
Back
Top Bottom