Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Wakuu hivi ni kweli ka Lulu kana miaka 17?
mama yake mzazi alisema jana kuwa mwanae amezaliwa mwaka 1995. Alikuwa akihojiwa na sauti ya Amerika (voa)
Wakuu hivi ni kweli ka Lulu kana miaka 17?
Vijana wa siku hizi bana.....
Hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kushabikia serikali kutoa 15m kwa mbakaji wa watoto kisa tu eti ni maarufu? Wizara hiyo hiyo imeitelekeza timu ya taifa ya netball na kumchoresha mke wa Pinda kutembeza bakuli la ombaomba kuinusuru timu.....
Kwamba unaweza shabikia mama wa mhuni apewe 15m za kodi yetu wakati mama zetu wanatembea zaidi ya 10km kwenda kutafuta maji machafu vijijini huko?
Nalishangaa sana taifa langu hili....
Serikali legelege utaijua kwa matendo yake.
Kitendo kilichofanyika ni cha busara,kubali ukatae Kanumba amewasaidia kwa njia moja ama nyingine vijana wengi kujiajiri kwa sababu ya kazi zake na pia amelitangaza soko la nchi yetu(la filamu) kwa kiasi kikubwa.usiwe mtu wa kupinga tu mambo ndugu yangu kama kusoma huwezi hata picha huoni,hawezi kuwa kama wewe kiukweli vinhinevyo uniambie ni nin ulishafanya kwa nchi yako chenye manufaa kimataifa
Tuache kuwa EMOTIONAL DRIVEN kama wanawake, serikali IMEKOSEA. Kanumba was just an individual na alichofanya si jambo linalokubalika na kila mtu.
1. The so called FILAMU kwa sasa imekuwa ndio kitovu cha uhuni na uasherati mkubwa kama huu uliopelekea kifo chake (Sipongezi, zinaharibu akili zenu)
2. Huyu anayesema msiba wa Kanumba umewagusa wengi, hicho si kigezo. Magazeti ya SHIGONGO yanasomwa na karibu wanawake wooote waliofeli form 4 na wasio na mwelekeo, je hicho ni kigezo kuwa UWAZI na IJUMAA ndio magazeti bora hapa Tanzania? (Lipime wewe mwenyewe kama una akili timamu)
3. Allocation ya fedha za serikali ina taratibu zake. Ikiwa leo kafa Kanumba 15m, kesho (kwa mfano, Mwenyezi Mungu aepushie mbali) akafa Juma Kaseja, serikali isipotoa 15m tutawaelewa?
Nionavyo mimi: Kuwa msanii hakumlazimishi mtu awe MUHUNI. Ukisoma headlines za magazetu yenu haya ya UDAKU utaona jinsi yalivyopambwa na habari za Fulani na Fulani wamelala chumba kimoja Nairobi, Uwoya kafumaniwa na mume wa mtu, Sijui nani kabakwa, yaani ni full upuuzi. Ikiwa haya ndio mnayoyaita maendeleo leo hii tukiwa wabovu kiuchumi kama nchi, basi tuna safari ndefu.
Wasanii wafanye sanaa na sio uhuni. Umaarufu kunuka huo mnaojivunia kwa kuwa nje ya nyumba za baba zenu saa 8 usiku ndio matokeo yake haya. Mtoto wa miaka 18 ana mabwana 6 hadi anawaua wengine kwa presha halafu mniambie mimi nikiwa na akili zangu timamu bila pombe, ETI HAYO NI MAFANIKIO KWA TANZANIA, nyooo! Kwendeni zenu huko
Nimehuzunika sana na kifo cha mpendwa wetu na kijana mwenzangu Steve Kanumba.BUT kunakitu hakijaniingia akilini pale waziri wa vijana na utamaduni alipotangaza kwamba wizara yake itatoa sh.milioni 15 kwa familia ya kanumba,nilimshuudia kwa macho yangu kupitia tv.Then nilisoma gazeti la mtanzania nikakutana na habari inayosma 'serikali itagharamia mazishi yote ya kanumba.'.nauliza je hii bajeti hiyo inatolewa kwenye fungu gani la bajeti ya serikali ukizingatia Kanumba ni raia wa kawaida kama mimi ? Na je huyo waziri alitoa rambirambi yake binafsi?
Kwa hiyo hata kubaka vibinti vidogo ni kuitangaza vema nchi yetu? Acheni hizo sio wivu ila ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Wamekufa wangapi waliofanya mazuri kwa nchi hii mbona hawajatendewa hivi? Au mnataka kutuambia kuwa ukiondoa baba wa Taifa anaefuata ni Kanumba?
freemason members whether dead or live are very influential. There is no surprise why the government spends that much on kanumba's funeral.
mama yake mzazi alisema jana kuwa mwanae amezaliwa mwaka 1995. Alikuwa akihojiwa na sauti ya Amerika (voa)
Kwa hiyo hata kubaka vibinti vidogo ni kuitangaza vema nchi yetu? Acheni hizo sio wivu ila ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Wamekufa wangapi waliofanya mazuri kwa nchi hii mbona hawajatendewa hivi? Au mnataka kutuambia kuwa ukiondoa baba wa Taifa anaefuata ni Kanumba?
Kwa hiyo hata kubaka vibinti vidogo ni kuitangaza vema nchi yetu? Acheni hizo sio wivu ila ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Wamekufa wangapi waliofanya mazuri kwa nchi hii mbona hawajatendewa hivi? Au mnataka kutuambia kuwa ukiondoa baba wa Taifa anaefuata ni Kanumba?
Nimehuzunika sana na kifo cha mpendwa wetu na kijana mwenzangu Steve Kanumba.BUT kunakitu hakijaniingia akilini pale waziri wa vijana na utamaduni alipotangaza kwamba wizara yake itatoa sh.milioni 15 kwa familia ya kanumba,nilimshuudia kwa macho yangu kupitia tv.Then nilisoma gazeti la mtanzania nikakutana na habari inayosma 'serikali itagharamia mazishi yote ya kanumba.'.nauliza je hii bajeti hiyo inatolewa kwenye fungu gani la bajeti ya serikali ukizingatia Kanumba ni raia wa kawaida kama mimi ? Na je huyo waziri alitoa rambirambi yake binafsi?
Ama kweli kuna watu wanaingia humu kupinga kila kitu. Kazi aliyoifanya Kanumba ni kubwa sana na atabaki kwenye kumbukumbu za walio wengi. R.I.P Kanumba.
Kanumba alikuwa ni nembo ya taifa (Nation Icon) kwa sanaa za maigizo na filamu hivyo kumzika kwa fedha za umma sijaona tatizo.
kazi ya kanumba imeitangaza Tanzania kuliko fedha zitakazotumika kumzika ...kuanzia kwenye kodi ya kazi yake, ajira kwa vijana na kuifanya Tanzania ikajulikana kwa baadhi ya wageni kupitia kazi yake, nenda Kongo Brazaville, Kenya, Sudan , Ghana, Nigeria rudi hadi Kongo Kinshasa kanumba aliifikisha Tanzania huko kupitia sanaa.
Kazi ya kanumba iliburudisha na kuifunza jamii.
Tusimshangae huyu waziri anafata akili za raisi wake.Juzi kati nilimsikia JK kwenye radio akimsifia kanumba mwishoni akasema "MAREHEMU ALIKUWA NA UMBILE ZURI''nikaduwaa nikasema kumbe ni siku hizi ni sawa mwamaume kumsifu uzuri mwanaume mwenzie!
Kanumba alimbaka nani? Yule binti alikuwa anajitangaza kila siku kwenye magazeti kwamba yeye si mtoto ni mtu mzima, Sheria pia inaruhusu binti wa miaka 14 kuolewa.
Kanumba ni zaidi ya wanasiasa wa nchi hii, umeona ule umati, kwa hakika umefuatia kwenye umati wa baba wa taifa.
Kubali ukatae, alistahili kuzikwa na serikali. Hiyo serikali inatumia mamilioni mangapi kwenye shughuli zisizo na tija kwa nchi hii?
RIP Kanumba
Duuu aisee kweli kua uyaone, yaani sijawahi kuona nchi yenye watu wenye mawazo mgando km TZ!! Yaani msanii tu serikali inamgharamia mazishi yake du! Hivi wasanii km Michael Jackson, Luck Dube, whitney Houston, Bob Marley, Maria Makeba n.k, Serikali za nchi zao ziligharamia mazishi yao?