Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,667
- 1,400
Kitendo kilichofanyika ni cha busara,kubali ukatae Kanumba amewasaidia kwa njia moja ama nyingine vijana wengi kujiajiri kwa sababu ya kazi zake na pia amelitangaza soko la nchi yetu(la filamu) kwa kiasi kikubwa.usiwe mtu wa kupinga tu mambo ndugu yangu kama kusoma huwezi hata picha huoni,hawezi kuwa kama wewe kiukweli vinhinevyo uniambie ni nin ulishafanya kwa nchi yako chenye manufaa kimataifa
yeh .. na alikuwa kipenzi cha wananchi...! ule umati uliojaa msibani kwake ni thibitisho tosha...
JF toka mdee atangaze anamtetea lulu naona mmegeuka kulipeleka kisiasa hili jambo....
R.I.P THE GREAT