Ni Samsung aina gani inabamba kwa Sasa mitaani huko mjini?

Zekoddo

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
1,831
4,498
Wadau nina bajeti ya 600k Hadi 800k mwisho, nahitaji Samsung inayobamba Sasa hvi huko mjini Darisalama,
Ni aina gani ya Samsung.

Wadau wa Samsung naomba mukije huku.
 
Back
Top Bottom