Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
Msingi wa haya yote ni dharau dhidi ya wananchi (contempt of the people). Watawala wanaamini wanaweza kusema lolote, vyovyote, kwa yeyote bila kujali matokeo yake. Hawataki kuulizwa na wakiulizwa wanaona unaleta vurugu.
Kwa hiyo unashauri nini kifanyike?