Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,030
- 12,353
Kwa jinsi bara la Afrika linavyo endeshwa hasa kusini mwa jangwa la sahara.
Huwa naumia sana nikiona kwa jinsi tunajirudisha tena utumwani na kwenye ukoloni.
Nchi yangu Tanzania kwa nini viongozi wanarudisha wajukuu zetu kwenye utumwa na ukoloni kila dalili za kurudi kwenye ukoloni zina onekana wazi wazi.
Kwa hiyo tumeamua kuipuuza historia ya utumwa na ukoloni ya kale na sisi tunataka kutengeneza ya kwetu mpya ?
Katika jambo linalo niumiza na kuwa kama laana kwangu basi mimi kuzaliwa mwafrika hii ni laana kubwa sana kwangu mpaka sasa.
Nimezaliwa katika bara la ajabu ambalo halijali kuhusu future ya vizazi vyake bali matumbo yenye njaa.
Hata kama mimi nimekataa kupata mtoto Afrika lakini naona huruma kwa ndugu zangu kurudishwa utumwani na kwenye ukoloni tena.
Hatujifunzi, kwa nini hatujifunzi ? na kwa nini hatukaki kujifunza ?
Tunaidharirisha ngozi nyeusi duniani kote kuonekana ya kipumbavu na inastahili kubaguliwa kwa kiwango cha juu, kama sio laana Afrika ina nini cha kuifanya isionekane imelaanika.
Afrika ndio bara pekee population kubwa haijitambui kabisa ipo usingizini.
R.I.P Abushiri
R.I.P Kinjekitile
R.I.P Mkwawa
KUZALIWA AFRIKA NA KUWA MWAFRIKA NI LAANA KUBWA SANA
Huwa naumia sana nikiona kwa jinsi tunajirudisha tena utumwani na kwenye ukoloni.
Nchi yangu Tanzania kwa nini viongozi wanarudisha wajukuu zetu kwenye utumwa na ukoloni kila dalili za kurudi kwenye ukoloni zina onekana wazi wazi.
Kwa hiyo tumeamua kuipuuza historia ya utumwa na ukoloni ya kale na sisi tunataka kutengeneza ya kwetu mpya ?
Katika jambo linalo niumiza na kuwa kama laana kwangu basi mimi kuzaliwa mwafrika hii ni laana kubwa sana kwangu mpaka sasa.
Nimezaliwa katika bara la ajabu ambalo halijali kuhusu future ya vizazi vyake bali matumbo yenye njaa.
Hata kama mimi nimekataa kupata mtoto Afrika lakini naona huruma kwa ndugu zangu kurudishwa utumwani na kwenye ukoloni tena.
Hatujifunzi, kwa nini hatujifunzi ? na kwa nini hatukaki kujifunza ?
Tunaidharirisha ngozi nyeusi duniani kote kuonekana ya kipumbavu na inastahili kubaguliwa kwa kiwango cha juu, kama sio laana Afrika ina nini cha kuifanya isionekane imelaanika.
Afrika ndio bara pekee population kubwa haijitambui kabisa ipo usingizini.
R.I.P Abushiri
R.I.P Kinjekitile
R.I.P Mkwawa
KUZALIWA AFRIKA NA KUWA MWAFRIKA NI LAANA KUBWA SANA