navigator msomi
Senior Member
- May 8, 2018
- 156
- 167
Naomba niende moja kwa moja kwenye point....Mimi ni kijana mwenye umri kati ya miaka 25-27.
Nina shida moja kama siyo tatizo ambalo linanisumbua sana na ningependa kama kuna uwezekano niachane nalo kabisa japo nimejarb lakini nimeshindwa kwa mimi kama Mimi..
Nimekua na woga sana kama siyo hofu kiasi kwamba mbele za watu hasa ambao sijazoeana nao kwa mda mrefu..kwa mfano nimeajiriwa katika taasisi fulani yapata miezi mitatu tangu niajiriwe, lakini shida inakuja kama wenzangu wakiwa wanapiga story naogopa hata kuchangia.
Kwenye vikao vya ofisini ndio kabisa siwezi hata sema neno...hii imenisababishia mpaka najiona siwezi chochote....na nimekua mtu wa kukubali kila hoja itolewayo...yaani kama tunazungumzia kitu flani na watu wanachangia maada akiongea mtu yeyote Mimi hua naona yuko sahihi hata kama wenzangu watapinga..
Na akitokea mwingine akapinga yule wa mwanzo pia ninamuona tena huyu yuko sahihi...kiufupi nimekua cyo mtu wa msimamo..
Hali hii inanifanya hata hapa nilipo nishindwe kutembea nje..nimekua mtu wa ndani mda wote....
Ila cha kushangaza nataman sana kuwa msemaji mkuu kwa kila jambo tatizo nakua mzito kwa kila kitu..
Pia kingine kinachonishangaza kama mtu nimemzoea sana hua nakua huru kwa kila kitu..kwa mfano mwanamke wangu wangu hua nafanya vitu mpaka hunishangaa..husema "hivi huyu ndio ww kweli"..
Sasa wakuu nimekuja kwenu kuomba msaada kipi nifanye ili niweze ondokana na hii hofu maana nahisi inani athiri kisaikorojia.
Nina shida moja kama siyo tatizo ambalo linanisumbua sana na ningependa kama kuna uwezekano niachane nalo kabisa japo nimejarb lakini nimeshindwa kwa mimi kama Mimi..
Nimekua na woga sana kama siyo hofu kiasi kwamba mbele za watu hasa ambao sijazoeana nao kwa mda mrefu..kwa mfano nimeajiriwa katika taasisi fulani yapata miezi mitatu tangu niajiriwe, lakini shida inakuja kama wenzangu wakiwa wanapiga story naogopa hata kuchangia.
Kwenye vikao vya ofisini ndio kabisa siwezi hata sema neno...hii imenisababishia mpaka najiona siwezi chochote....na nimekua mtu wa kukubali kila hoja itolewayo...yaani kama tunazungumzia kitu flani na watu wanachangia maada akiongea mtu yeyote Mimi hua naona yuko sahihi hata kama wenzangu watapinga..
Na akitokea mwingine akapinga yule wa mwanzo pia ninamuona tena huyu yuko sahihi...kiufupi nimekua cyo mtu wa msimamo..
Hali hii inanifanya hata hapa nilipo nishindwe kutembea nje..nimekua mtu wa ndani mda wote....
Ila cha kushangaza nataman sana kuwa msemaji mkuu kwa kila jambo tatizo nakua mzito kwa kila kitu..
Pia kingine kinachonishangaza kama mtu nimemzoea sana hua nakua huru kwa kila kitu..kwa mfano mwanamke wangu wangu hua nafanya vitu mpaka hunishangaa..husema "hivi huyu ndio ww kweli"..
Sasa wakuu nimekuja kwenu kuomba msaada kipi nifanye ili niweze ondokana na hii hofu maana nahisi inani athiri kisaikorojia.