Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 1,054
- 2,425
Wakuu, nimekua disappointed na mtu ambaye tuko very close; nilikua namchukulia kama ndugu yangu wa damu. I was very fond of him yan katika circle yangu ya watu wachache, nilionichagulia, na yeye nilikua namconsider. Dah, gafla bin Vu akanifanyia kitu ambacho nikarealize kumbe mimi ndo nlikua najipa umuhimu kwake, yeye ananichukulia tofauti na nilivodhani. Aisee, nimeumia sana, naomba Mungu nisamehe, ila kuna muda nikiikumbuka najikuta naumia na kushikwa hasira.
Huyo jamaa niko nae ofisi moja, tunafanya kazi yan miongoni mwa staff wote, yule ndo nilimuona kama rafiki. Kila nikiiona akitype kwenye group kazini, hasira zinanijia. Nimeamua kubadili jina lake, nimesave kivingine, hii kidogo imenipa relief. Disappointment zinaumiza sana, hasa kwa yule mtu uliemuamini sana na kumuona mwema, kumbe yeye yuko vice versa ya unavyofikir. Wakuu, vipi kwa upande wenu, mnadeal vipi na disappointment? Nimegundua disappointment kutoka kwa watu wa karibu zinaumiza sana.
Huyo jamaa niko nae ofisi moja, tunafanya kazi yan miongoni mwa staff wote, yule ndo nilimuona kama rafiki. Kila nikiiona akitype kwenye group kazini, hasira zinanijia. Nimeamua kubadili jina lake, nimesave kivingine, hii kidogo imenipa relief. Disappointment zinaumiza sana, hasa kwa yule mtu uliemuamini sana na kumuona mwema, kumbe yeye yuko vice versa ya unavyofikir. Wakuu, vipi kwa upande wenu, mnadeal vipi na disappointment? Nimegundua disappointment kutoka kwa watu wa karibu zinaumiza sana.