Ni nini maana ya neno "Shikamoo"

Isa The Girl

Member
Jul 12, 2022
10
20
Nikiwa mtoto nilikua nikisema shikamoo kwa upesi sana lakini kadri navyozidi komaa kiakili napata ugumu wakulisema pale napokutana na watu walionizidi umri. "Shikamoo" ni neno la kiswahili sanifu? Ama lilikopwa kutoka lugha nyingine. Je lina maana gani.

Naombeni nifahamishwe kuhusu neno hilo na maana yake katika tamaduni yetu.
 
shikamoo huko pwani na tafsiri zao husema ni ''nipo chini ya miguu yako''
na marhaba ni kukubaliana na msalimiaji yani ''barabara/balabala''

wenye kiswahili sanifu mtaelewa... na tulio sikia minakasha ya kuchagiza mambo pia ndio hivyo...
 
Nikiwa mtoto nilikua nikisema shikamoo kwa upesi sana lakini kadri navyozidi komaa kiakili napata ugumu wakulisema pale napokutana na watu walionizidi umri. "Shikamoo" ni neno la kiswahili sanifu? Ama lilikopwa kutoka lugha nyingine. Je lina maana gani.

Naombeni nifahamishwe kuhusu neno hilo na maana yake katika tamaduni yetu.
maana yake ni kwamba unatoa salamu kwa mkubwa wako, Yani kuonyesha heshima kwa mtu aliye kuzidi umri.
 
Chini ya miguu yako kweli kiswahili ni kipana
20230907_021313.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom