Kikatiba ni mtumishi wa umma lakini kiutendaji ni mtu wa karibu mno na kiongozi wa nchi .Ni mkono wa kulia wa Rais.Yeye ndiye mkuu wa watumishi wa umma,ndiye kiongozi wa makatibu wakuu wote,NI KATIBU WA BARAZA LA MAWAZIRI (Baraza la mawaziri ndiyo serikali yenyewe).Kwa ujumla baada ya Rais ndiye mtu wapili kujua mambo actually karibu yote ya serikali.Katibu mkuu kiongozi anafanya kazi gani? Kuna umuhimu wa mtu kuwepo kufanya kazi hiyo?
Katika utendaji wake na wa waziri mkuu, utofauti wao ni nn?Kikatiba ni mtumishi wa umma lakini kiutendaji ni mtu wa karibu mno na kiongozi wa nchi .Ni mkono wa kulia wa Rais.Yeye ndiye mkuu wa watumishi wa umma,ndiye kiongozi wa makatibu wakuu wote,NI KATIBU WA BARAZA LA MAWAZIRI (Baraza la mawaziri ndiyo serikali yenyewe).Kwa ujumla baada ya Rais ndiye mtu wapili kujua mambo actually karibu yote ya serikali.
SI MTU MDOGO HATA KIDOGO!!
Utofauti wao, waziri yupo kisiasa zaidi, katibu yupo kiutendaji zaidi!!Katika utendaji wake na wa waziri mkuu, utofauti wao ni nn?
Cabinet Act No.15 of 1984 Art.9 60.Katika utendaji wake na wa waziri mkuu, utofauti wao ni nn?
Kwa hiyo ni kama katibu wa serikali. Ana kazi muhimu sana. Kwa nini hii kazi asiifanye waziri mkuu na badala yake PM anazururazurura tu?Kikatiba ni mtumishi wa umma lakini kiutendaji ni mtu wa karibu mno na kiongozi wa nchi .Ni mkono wa kulia wa Rais.Yeye ndiye mkuu wa watumishi wa umma,ndiye kiongozi wa makatibu wakuu wote,NI KATIBU WA BARAZA LA MAWAZIRI (Baraza la mawaziri ndiyo serikali yenyewe).Kwa ujumla baada ya Rais ndiye mtu wapili kujua mambo actually karibu yote ya serikali.
SI MTU MDOGO HATA KIDOGO!!
Kwa jinsi nilivyoelewa. Huyu katibu mkuu hatoi maelekezo bali anafafanua maamuzi ya baraza la mawaziri kwa watu na taasisi.Hii article (c) ndo hua inanichanganya. Nashindwa kumtofautisha na prime minister as all we know prime minister has mandate of give directions and instructions to any institution in the country the same applies to chief secretary.
Tofauti ya waziri na katibu wa wizara unaijua?Utofauti wao, waziri yupo kisiasa zaidi, katibu yupo kiutendaji zaidi!!
Shida ya katiba yetu PM lazima awe mbunge na mbunge lazima awe kutoka chama cha siasa huoni mkanganyiko hapoKwa hiyo ni kama katibu wa serikali. Ana kazi muhimu sana. Kwa nini hii kazi asiifanye waziri mkuu na badala yake PM anazururazurura tu?
Ndiye administrator mkuu wa ikulu anayesimamia mambo ya kiutawala kwa wafanyakazi wote wa Ikulu pamoja na wale walioteuliwa na rais. Kwa marekani anaitwa Chief of Staff.Katibu mkuu kiongozi anafanya kazi gani? Kuna umuhimu wa mtu kuwepo kufanya kazi hiyo?
Ni hiyo hiyo niliyoeleza hapo juu!!Tofauti ya waziri na katibu wa wizara unaijua?
Katiba na kanuni za utumishi wa ummaKwa hiyo ni kama katibu wa serikali. Ana kazi muhimu sana. Kwa nini hii kazi asiifanye waziri mkuu na badala yake PM anazururazurura tu?
Mkuu samahani,ukilinganisha na government ya u.s.a,Kikatiba ni mtumishi wa umma lakini kiutendaji ni mtu wa karibu mno na kiongozi wa nchi .Ni mkono wa kulia wa Rais.Yeye ndiye mkuu wa watumishi wa umma,ndiye kiongozi wa makatibu wakuu wote,NI KATIBU WA BARAZA LA MAWAZIRI (Baraza la mawaziri ndiyo serikali yenyewe).Kwa ujumla baada ya Rais ndiye mtu wapili kujua mambo actually karibu yote ya serikali.
SI MTU MDOGO HATA KIDOGO!!