VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
- Thread starter
- #21
bora utoe lingine hayo majibu ni dhahiri wamewahi sikia tayari mana jibu halina kabisa mantiki sasa pope analo alafu hatumi ndio mambo gani hayo.
Nyerere jina lake ni refu kushinda mwinyi
sisi wanaume tuna majina yetu lakini tukioa tunawapa wake zetu yaani wanaitwa mfano mrs voiceofreason
Papa huwa wana majina yao lakini wakiteuliwa kuwa papa huwa wanachagua jina mfano Pope John Paul II lile halikuwa jina lake la kuzaliwa