Ni ngumu kutuelewa

Ni ngumu kutuelewa

Kabati limeanguka huku baba naniliuu[emoji23][emoji23][emoji23]
kanga moja tu,unaweza ukajifanya kuiachia wakati unazunguka zunguka katika eneo huru...na huwe umebarikiwa na chura itakuwa hatari zaidi
 
kanga moja tu,unaweza ukajifanya kuiachia wakati unazunguka zunguka katika eneo huru...na huwe umebarikiwa na chura itakuwa hatari zaidi

Hapa mnahitaji nyumba private la sivyo mtatuharibia mood wapenzi watazamaji
 
Kuwa na manta tatizo kutokuwa na manta tatizo sasa si bora mtunyongeee tuh
 
Khantwe makofi ya kimapenzi ndo yapi
Haha ni makofi mtu anakupiga si kwa lengo la kukuumiza au kukukomoa, ni katika kukufikishia ujumbe tu kwamba amekasirika. Unashtuliwa tu sio unapigwa unaenda kujikanda, mara nyingi yanaishia kwenye mahaba. [emoji85][emoji85][emoji85] aliandika mwanajf mmoja sina hakika kama nimemnukuu sawasawa
 
Haha ni makofi mtu anakupiga si kwa lengo la kukuumiza au kukukomoa, ni katika kukufikishia ujumbe tu kwamba amekasirika. Unashtuliwa tu sio unapigwa unaenda kujikanda, mara nyingi yanaishia kwenye mahaba. [emoji85][emoji85][emoji85] aliandika mwanajf mmoja sina hakika kama nimemnukuu sawasawa

Asante kwa nukuu utakua hujakosea[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom