Ni ngumu kutuelewa

Ni ngumu kutuelewa

Usikose kumpa mood swing zaidi akapunguza kukupenda[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] huyu ananielewa sana sina wasiwasi nae sema kuna eneo moja tu ambalo huwa tunagombana
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mtu kila kitu ndio mzee hata ukikosea wewe anaomba radhi yeye khaaa what a boring relationship
Acha tu baby mie tenaa, mwanamke ambaye sio kichaa kichaa hanogi nae. Sometimes inabidi tuchemshane kidogo nikuzabe hata kofi ukae kwa kutulia
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimekusumbua lini?
Hahahah hatujakaa pamoja mahali ila siku tukikaa ni shida. U sound like a stubborn kind of lady ila raha sana ku deal na hilo hasa ukiwa na uromantic kwa mbaliii
 
Hahahah hatujakaa pamoja mahali ila siku tukikaa ni shida. U sound like a stubborn kind of lady ila raha sana ku deal na hilo hasa ukiwa na uromantic kwa mbaliii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mie mpole hatari muulize Khantwe.
 
Acha tu baby mie tenaa, mwanamke ambaye sio kichaa kichaa hanogi nae. Sometimes inabidi tuchemshane kidogo nikuzabe hata kofi ukae kwa kutulia
[emoji23][emoji23][emoji23]

Makofi tena[emoji849]
 
Back
Top Bottom