Ni ngumu kutuelewa

Ni ngumu kutuelewa

Hatutawaelewa kwa sababu:

1. Mliumbwa wakati sisi wanaume tupo usingizini. (Adamu alilala halafu akatolewa ubavu uliomtengeneza mwanamke).

2. Ninyi wenyewe hamuelewani. Kwa hiyo sasa sisi ni akina nani hata tuwalewe?

3. Sisi tunatumia logic kuwaza, ila ninyi mnatumia hisia zaidi na mihemko
 
Hatutawaelewa kwa sababu:

1. Mliumbwa wakati sisi wanaume tupo usingizini. (Adamu alilala halafu akatolewa ubavu uliomtengeneza mwanamke).

2. Ninyi wenyewe hamuelewani. Kwa hiyo sasa sisi ni akina nani hata tuwalewe?

3. Sisi tunatumia logic kuwaza, ila ninyi mnatumia hisia zaidi na mihemko

Umeongea kihisia zaidi ila ukweli ni kwamba hata wenyewe hatujielewi ndo logic ilivyo
 
Umeongea kihisia zaidi ila ukweli ni kwamba hata wenyewe hatujielewi ndo logic ilivyo

Asante kwa kuomgeza point niliyoisahau.

Yaani hamjielewi na ndiyo maana hata hamuelewani
 
Back
Top Bottom