Ni nani mshauri mzuri humu jf?

Ni nani mshauri mzuri humu jf?

majigambo

Member
Joined
Dec 13, 2013
Posts
20
Reaction score
8
Tafadhalini wakuu, naomba tutajane kwa majina ni nani mchangiaji mzuri humu jf yaani kwa maana kwamba yeye huwa anatoa busara zake na zinakubalika? maana humu nimekuwa nikiona wengine wanatoa majibu mabovu sana hata wakati mtu anapoomba ushauri wa jambo la msingi kabisa...
 
Tafadhalini wakuu, naomba tutajane kwa majina ni nani mchangiaji mzuri humu jf yaani kwa maana kwamba yeye huwa anatoa busara zake na zinakubalika? maana humu nimekuwa nikiona wengine wanatoa majibu mabovu sana hata wakati mtu anapoomba ushauri wa jambo la msingi kabisa...

Nadhani ungeomba tu ushauri bila masharti!
 
ila jina lako!!! Si bure unaulizia haya.
 
sawa, nilitaka kujua ili nijue nim-mention nani wakati ninaweka shida yangu hapa ili naye aweze kunisaidia...hiyo ndio maana yangu mkuu..
Nadhani ungeomba tu ushauri bila masharti!
 
jina langu lisikutishe mkuu...kuna binti mmoja hapa ninapofanya kazi ndio ana majigambo sana japo ni mrembo sana, ndio maana nikaamua kutumia jina hilo...si zaidi ya hapo usiogope.
ila jina lako!!! Si bure unaulizia haya.
 
hata mimi pia ni mshauri mzuri
Weka shida yako mezani uone watu tulivyobobea kwenye kazi zetu
 
sawa mkuu maana hapa bwana kuna watu wamepinda sana ndio maana nataka nijue washauri wazuri ni akina nani ili niwamention wakati naweka shida yangu hapa...asante.
hata mimi pia ni mshauri mzuri
Weka shida yako mezani uone watu tulivyobobea kwenye kazi zetu
 
kwa haraka tu kuna the boss, heaven on earth, jamiif, charming lady, michango yao ni mizuri sana bila kumsahau mzizimkavu.

Kumbe ulikuwa unawafahamu! Ni nini ilikuwa maana ya thread yako bwana Majigambo?
 
maana ya thread yangu ni kutaka kuwafahamu wengine zaidi kwa kuwa hao hawatoshi na kwamba bado sijabahatika kusoma koments za wanajf wengine...hapa ndio ninazidi kujua hekima za wana jf.
Kumbe ulikuwa unawafahamu! Ni nini ilikuwa maana ya thread yako bwana Majigambo?
 
Back
Top Bottom