monomotapa
JF-Expert Member
- Oct 30, 2012
- 437
- 325
Iringa namkumbuka sana miaka ya themanini na tisa tisini hapo nikiwa sekondari alikuwa maarufu kwa mkono pale stendi kuu iringa hakuna asiyejua jina hilobwakati huo cool 9Jamaa alikuwa maarufu sana dar na iringa na mbeya na morogoro,yeyote mkongwe dar lazima amjue huyu mtu mana alikuwa maarufu sana pale magomeni,manzese na ubungo na dar kwa ujumla.
Alikuwa ni balaa.Iringa namkumbuka sana miaka ya themanini na tisa tisini hapo nikiwa sekondari alikuwa maarufu kwa mkono pale stendi kuu iringa hakuna asiyejua jina hilobwakati huo cool 9
Kiboko msheli lilikuwa kundi la Magomeni enzi hizo, huyu Cool 9 alikuwa Manzese
Pia kulikuwa na gangwe mmoja akijulikana kama KALA MZUVENDI maeneo ya Magomeni makanya, kondoa, kagera nk.
bado mzima sana tu, anaendelea kuuza mitumba, utampata maeneo ya kariakoo na mara zingine manzese palepale kwawaulize watakuonehsa anapopatikana.
Umenikumbusha mbali sana enzi za wababe wa mkoa,nakumbuka pale Singida miaka hiyo kulikuwa na mtu mmoja anaitwa Ndovu,mtoto wa mtemi Senge,huyu alikuwa mbabe balaa,tuliambia anapiga mkoa mzima,pia alikuwa na uwezo wa kukamata simba mzimamzima!Iringa jamaa alikuwa anaogopeka kishenzi, ndo ilikuwa inadaiwa jamaa anachapa iringa nzima. Vijana wa leo kwa taarifa yenu enzi za mwalimu kulikuwa na mbabe wa darasa, shule, mtaa mkoa. Hao jamaa walikuwa balaa tupu usiombe ukanyage reli zao. Wanakudunda mbaya, siku hizi maisha yamekuwa peace sana, hakuna tena yale mambo ya ubabe
Umenikumbusha mbali sana enzi za wababe wa mkoa,nakumbuka pale Singida miaka hiyo kulikuwa na mtu mmoja anaitwa Ndovu,mtoto wa mtemi Senge,huyu alikuwa mbabe balaa,tuliambia anapiga mkoa mzima,pia alikuwa na uwezo wa kukamata simba mzimamzima!
huyo dame wa sinza anaitwa Ayubu mkobo alishachezea miaka yake mi 3 jela sasa yupo nasikia yupo kinondoni,alipotoka kakuta dingi kandei tayari halafu ndugu zake washauza nyummba yao kila mtu kasepa na chake hivyo akabaki anaganga njaa tu kinondoni,kuhusu yeye na kool9 nadhani dame mwenyewe anamjua vizuri huyu jamaa,tatizo la dame ngumi hawezi ila yeye ana nguvu tu hivyo anapigwa na watoto wadogo kila mara,kool9 alikuwa mwili nyumba halafu hadi kata alikuwa anaziweza yote anayoyafanya dame miaka ya karibuni alikuwa anamwiga huyu jamaa mana Dar nzima uliza hakuna asiyemjua huyu KOOL9.Halafu Dame alikuwa ni mwizi tu wa kukaba ngeta
huyu bwana alikuwa na nguvu na alikuwa ni jambazi mkubwa sana polisi wote walikuwa wanamwogopa,siku moja polisi walienda kwao kumkamata wakamkuta anapiga nondo walipomwona tu wakaanza kumbwela akatoka nje akaenda kuwaambia waondoke wakaondoka Dame naye alikuja kuiga tukio hili baadae ukiangalia matukio yote ya dame yalimwiga huyu jamaa.
ni zile mbwa za polisi mamaIlikuwaje akaua polisi aina ya mbwa........ ?
ni zile mbwa za polisi mama