Ni nani Dr. William Mgimwa?

Kuna baadhi ya vichwa nimevishangaa kama huyu waziri wa fesha na yule wa maliasili na utalii, kumbe kuna wengi ambao wanavuta hisia za matumaini, kwa nini alikuwa anawang'ang'ania akina megawati na mkulo?

Mgimwa ni kiazi!
Watch this space mwaka mmoja baadae!!
I tell you me.
 
Really Eliza? Kumbe wanateuliwa kwa kujuana ati!

Mgimwa alichangia hotuba ya kamati ya mashirika ya uma kwa kuuliza mchango wa wizara ya fedha katika uchumi akitoa mifano ya kilimo kilivyoshuka katika kuchangia kwenye GDP.

Hakukosoa kitu. Hiyo ndo karata yake kwa JK.

Utashangaa jinsi viongozi wabavyochaguliwa!
 
tumpe muda, wanasiasa wanapewa siku 100 baada ya kuchaguliwa kuonyesha nini wataweza kufanya. CV inaonyesha alikuwa BOT
 
Nimekutana na CV ya mkuu wetu wa Hazina hapa. Il sijaona kitu chochote kinachomfanya aitwe Dr!!


Parliament of Tanzania
MEMBER OF PARLIAMENT CV

GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1679.jpg
First Name:William
Middle Name:Augustao
Last Name:Mgimwa
Member Type:Constituency Member
Constituent:Kalenga
Political Party:CCM
Office Location:Box 80373, Dar Es Salaam
Office Phone:+255 754 765644/+255 684 765644
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:wmgimwa@parliament.go.tz
Member Status:Current Member
Date of Birth20 January 1950
EDUCATIONS
School Name/LocationCourse/Degree/AwardStart DateEnd DateLevel
Wasa Primary SchoolPrimary Education19611965PRIMARY
Tosa Seminary Primary SchoolPrimary Education19661967PRIMARY
Tosamaganga Seminary SchoolO-Level Education19681969SECONDARY
Mafinga Seminary SchoolO-Level Education19701971SECONDARY
Institute of Finance Management, IFMAdvanced Diploma (Banking)19751978ADV DIPLOMA
Institute of Finance Management, IFMPostgraduate (Finance)19831984POSTGRADUATE
Institute of Development Management, IDM, MzumbeMBA (Finance)19891991MASTERS DEGREE
EMPLOYMENT HISTORY
Company NamePositionFrom DateTo Date
The Parliament of TanzaniaMember - Kalenga Constituency20102015
Bank of Tanzania Training Institute (Mwanza)Principal20002010
The National Bank of Commerce (NBC) - BankDirector19972000
The National Bank of Commerce (NBC) - BankManager19961997
The National Bank of Commerce (NBC) - CollegeLecturer19811989
The National Bank of Commerce (NBC) - BankAccountant19801981
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/LocationPositionFromTo
Chama Cha Mapinduzi, CCMWard Guardian (Wasa, Iringa)20082010
Chama Cha Mapinduzi, CCMAssistant Commander (UVCCM)19941995
Chama Cha Mapinduzi, CCMCouncillor (Gangilonga Ward)19911994
PUBLICATIONS
DescriptionDate
W. Mgimwa: Liquidity Management, Tanzania Bankers Journal, Dar Es Salaam.1994
W. Mgimwa: Commercial Bank Lending Journal, Dar Es Salaam.1995
W. Mgimwa: Advanced Credit Operations, Dar Es Salaam.2007
W. Mgimwa: Advanced Treasury Management, Dar Es Salaam.2009
W. Mgimwa: Liquidity Management, Tanzania Bankers Journal, Dar Es Salaam.1994
W. Mgimwa: Commercial Bank Lending Journal, Dar Es Salaam.1995
W. Mgimwa: Advanced Credit Operations, Dar Es Salaam.2007
W. Mgimwa: Advanced Treasury Management, Dar Es Salaam.2009
W. Mgimwa: Liquidity Management, Tanzania Bankers Journal, Dar Es Salaam.1994
W. Mgimwa: Commercial Bank Lending Journal, Dar Es Salaam.1995
W. Mgimwa: Advanced Credit Operations, Dar Es Salaam.2007
W. Mgimwa: Advanced Treasury Management, Dar Es Salaam.2009
W. Mgimwa: Liquidity Management, Tanzania Bankers Journal, Dar Es Salaam.1994
W. Mgimwa: Commercial Bank Lending Journal, Dar Es Salaam.1995
W. Mgimwa: Advanced Credit Operations, Dar Es Salaam.2007
W. Mgimwa: Advanced Treasury Management, Dar Es Salaam.2009

Dah shule ya msingi amechelewa sana kuanza alikuwa wapi?
 
Tanazania a big joke!!! Mnamwita huyu DR
Wewe Mwanamasala ndio Big Joke... Tatizo mkishapata vidigrii vyenu mnajifanya mnajua kila kitu. Hebu angalia publications alizofanya hapo then niambie kama hazitoshi kumpatia PhD kama alikuwa anatafuta!? PhD is all about publications we ****, sio kutudharau watanzania kuwa vile tu kuna wapuuzi wachache
 
Hivi kumbe kuna chuo cha NBC...(The National Bank of Commerce (NBC) - College). Kiko WAPI?

Kilikuwa mjini Iringa killitwa Dr Amon Nsekela NBC College, kwa sasa kimenunuliwa na Kanisa Katoliki na kimekuwa ni Chuo Kikuu cha Ruaha kama sikosei!!
 
Dah shule ya msingi amechelewa sana kuanza alikuwa wapi?

Hujui kwamba enzi hizo kuandikishwa darasa la kwanza ilikuwa inabidi upimwe kwa kujishika masikio, kukimbia, kubeba kidumu cha maji nk, naona hakuweza kutosheleza viwango hivyo mpaka alopotimiza miaka 11 ndipo akakubalika. Hata Mwalimu Nyerere alianza darasa la kwanza akiwa na umri wa miaka 14 baada ya ku graduate masuala ya kuchunga mbuzi wa nyumbani. Hayo ndiyo mambo kale!!!
 
U-Doctor wanasomeaaa wew mtetea mafisadi wa elimu.....
Wewe Mwanamasala ndio Big Joke... Tatizo mkishapata vidigrii vyenu mnajifanya mnajua kila kitu. Hebu angalia publications alizofanya hapo then niambie kama hazitoshi kumpatia PhD kama alikuwa anatafuta!? PhD is all about publications we ****, sio kutudharau watanzania kuwa vile tu kuna wapuuzi wachache
 
I know him.Ni mtu muadilifu na mchapa kazi.alikuwa NBC Iringa kama accountant,then akawa lecturer pale chuo cha NBC cha Amon Nsekela Iringa after that alihamishiwa hapa DAR na kisha kushika nyadhifa mbalimbali mpaka kuwa Director.na baada ya hapo alienda BOT na baadae kujiunga na shughuli za siasa ambapo kwa sasa ni mbunge wa kalenga.nimesoma na watt wake pale IR na mkewe (mama Flora) ni mwanamke mwenye roho nzuri sana na kwa ujumla ni familia yenye maadili,wachapa kazi na ni mfano wa kuigwa.ni majiran pia so nawafahamu vizuri.ameandika publications nyingi tu kiumjumla anatufaa na tutegemee mabadiliko mengi ikiwa ni pamoja na kudhibiti mfumuko wa bei.Kila la heri Dk.william Mgimwa
Mimi nimekaa mkao wa kula tu.
 
Kazaliwa,Kalelewa na Kakulia benki, balance sheet anaielewa.Iwapo Key Performance Indicators zake zipo kiwango cha juu basi atatufikisha Kaanani.
 
Hakuna mtu hata mmoja anayeweza kuruka hadi juu bila kupitia hatua muhimu za kujenga taaluma yeke. Na ndio maana CV inaheshimika sana na kutumiwa kuonesha kwa kiwango fulani uwezo wa mtu kitaaluma na weledi wake pia.

Pamoja na kwamba Tanzania watu wanachakachua sana mambo ya taaluma, bado ni muhimu katika utendaji wa shughuli zetu za kitaalamu.

Hata hivyo, hakuna jambo lolote jipya ninalolitegemea kutoka katika serikali iliyo chini ya JK hata kama mawaziri angewatoa mbinguni!!
Njaa ina matatizo makubwa sana hivi mimi nashindwa kuelewa ni kitu gani hasa mpaka Kikwete achukiwe hivi? Mmetaka avunje Baraza La Mawaziri kavunja ametulia na kulipanga upya kila mtu analaumu tu hivi nyie watu wa Chadema mnao watu wanaofaa kuwa Mawaziri? Sugu ama Vincent Nyerere ama Mchungaji Msigwa ama aliekuwa Mbunge wa Arusha Mjini wanafaa kwa Wizara gani? Mbona hao ndo CV zao hazieleweki kabisa? Tuache mambo ya ushabiki ambao hauna msingi Mawaziri wameteuliwa tuwaache wafanye kazi karibu Mawaziri wote waliokuwa wanalalamikiwa wametoswa na wengine waliobaki wamebadirishiwa Wizara Raisi kwa kiwango kikubwa amejitahidi ila nyie watu wa Chadema sifa yenu kubwa ni kulaumu tu hata kama kilichofanyika kiko sahihi!
 
nimewahi kusoma sekondari na dada mmoja akiitwa Thecla Mgimwa pale Lugalo ya Iringa, huyo ni familia yake pia? just want to knw.

Kuna dogo mmoja hivi alikua mitaa ya CBE Dsm miaka ya 2007, anaitwa Achleus Mgimwa
 
nimewahi kusoma sekondari na dada mmoja akiitwa Thecla Mgimwa pale Lugalo ya Iringa, huyo ni familia yake pia? just want to knw.

Kuna dogo mmoja hivi alikua mitaa ya CBE Dsm miaka ya 2007, anaitwa Achleus Mgimwa, nafikiri ndio walewale
 
I know him.Ni mtu muadilifu na mchapa kazi.alikuwa NBC Iringa kama accountant,then akawa lecturer pale chuo cha NBC cha Amon Nsekela Iringa after that alihamishiwa hapa DAR na kisha kushika nyadhifa mbalimbali mpaka kuwa Director.na baada ya hapo alienda BOT na baadae kujiunga na shughuli za siasa ambapo kwa sasa ni mbunge wa kalenga.nimesoma na watt wake pale IR na mkewe (mama Flora) ni mwanamke mwenye roho nzuri sana na kwa ujumla ni familia yenye maadili,wachapa kazi na ni mfano wa kuigwa.ni majiran pia so nawafahamu vizuri.ameandika publications nyingi tu kiumjumla anatufaa na tutegemee mabadiliko mengi ikiwa ni pamoja na kudhibiti mfumuko wa bei.Kila la heri Dk.william Mgimwa

Hata kwa Pinda tulisema hayohayo mkuu!

Tatizo si "upya" wa kikombe,bali kikombe chenyewe "kisafii"??
 
Njaa ina matatizo makubwa sana hivi mimi nashindwa kuelewa ni kitu gani hasa mpaka Kikwete achukiwe hivi? Mmetaka avunje Baraza La Mawaziri kavunja ametulia na kulipanga upya kila mtu analaumu tu hivi nyie watu wa Chadema mnao watu wanaofaa kuwa Mawaziri? Sugu ama Vincent Nyerere ama Mchungaji Msigwa ama aliekuwa Mbunge wa Arusha Mjini wanafaa kwa Wizara gani? Mbona hao ndo CV zao hazieleweki kabisa? Tuache mambo ya ushabiki ambao hauna msingi Mawaziri wameteuliwa tuwaache wafanye kazi karibu Mawaziri wote waliokuwa wanalalamikiwa wametoswa na wengine waliobaki wamebadirishiwa Wizara Raisi kwa kiwango kikubwa amejitahidi ila nyie watu wa Chadema sifa yenu kubwa ni kulaumu tu hata kama kilichofanyika kiko sahihi!

Shida ni kuwa anatumia vibaya weledi,na uzalendo wa watu... Yaani kimsingi,yeye ndiyo tatizo...
Unadhani tatizo ni Pinda? Pinda ni mtu safi sana na sahihi kwa majukumu aliyopewa,tatizo si yeye..
Unadhani tatizo ni Magufuli?
Unadhani tatizo ni Tibaijuka?
Unadhani tatizo ni Mwanri?
Au hata wanahabari wanamfahamu Salva Rweyemamu... Unadhani tatizo ni yeye? Ukipitia makala za M.Mwanakijiji ameongea juu ya resources (watu) zinazotumika vibaya... Mpaka zinaonekana kama hopeless na zisizofaa..
 
nime-google Thesis ya phd ya waziri mteule sijaiona. huyu jamaa inaonesha hana publication yoyote kwenye any serious journal. naomba wenye taarifa fungukeni zaidi. kwa kidogo nilichoona, huyu jamaa bado hana ufanani na doctor of philosophy. phd si mchezo bhana, acheni kabisa.
 
Back
Top Bottom