Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
hakuna jipya
hakuna jipya
hakuna jipya
. Naomba kukuuliza mheshimiwa yafuatayo:Kwa jinsi hotuba yake ilivyokuwa jana, na kwa jinsi aliwasilisha bajeti; amini usiamini anapwaya sana. Ni kama hajui anachosema ana kukifanya; mzaha mwingi nchi inateketea, haina majibu ya maswali ya wafanyakazi mei mosi, haina majibu kwa mtanzania wa kawaida na shida zake za kila siku.
Naomba ufute kauli yako, TUMAINI kinatoa wanasheria vilaza..vilevile majority ya watu wanaoenda kusoma IFM, IAA na MZUMBE wanakuwa hawakupata credit nzuri Form VI za kuwawezesha kuingia UD kusoma BCOM, BA Economics nk. Tunao makazini, wengi wao ni mzigo tu hata huku maofisini.
. Naomba kukuuliza mheshimiwa yafuatayo:
i. Kwani Mh. Waziri kaandaa hiyo bajeti peke yake?
ii. Wataalamu wa wizara ya Fedha, BOT, Mashirika ya Fedha nk hawakuhusika?
iii. Je ana muda gani hapo HAZINA hata tumtoe makosa kupitia bajeti aliyokuta imeandaliwa?.
iv. Mwisho usisahau ni mara ya kwanza yeye kusimama Bungeni na kupewa jukumu kubwa kama hili. It is obvious anaweza kuwa ametetereka ktk kuongea na kuwasilisha mada. Hilo lisitufanye tuendelee kumuona hafai.
v. Watanzania wenzangu safari ya ukombozi wa Mtanzania bado ni ndefu hivyo nasisitiza tumpe muda anaweza kuwa Daudi aliyemuua Goliati. Tupunguze negativity kubwa tuliyonayo inayosababisha upofu hata yaliyo mazuri hatuyaoni wala hatutayaona tukiendelea hivi. Tumuombee yeye na viongozi wengine watuongoze vizuri na kwa uadilifu, pia na tuiombee Tanzania yetu, nani ajuae Daudi amepatikana?
Qeen Esther
I know him.Ni mtu muadilifu na mchapa kazi.alikuwa NBC Iringa kama accountant,then akawa lecturer pale chuo cha NBC cha Amon Nsekela Iringa after that alihamishiwa hapa DAR na kisha kushika nyadhifa mbalimbali mpaka kuwa Director.na baada ya hapo alienda BOT na baadae kujiunga na shughuli za siasa ambapo kwa sasa ni mbunge wa kalenga.nimesoma na watt wake pale IR na mkewe (mama Flora) ni mwanamke mwenye roho nzuri sana na kwa ujumla ni familia yenye maadili,wachapa kazi na ni mfano wa kuigwa.ni majiran pia so nawafahamu vizuri.ameandika publications nyingi tu kiumjumla anatufaa na tutegemee mabadiliko mengi ikiwa ni pamoja na kudhibiti mfumuko wa bei.Kila la heri Dk.william Mgimwa
wakuu ili ni jembe kishule na kiutendaji tumpe muda mtaona wenyewe,wakuu samahani lakini naomba mniwekee 'cv' ya mh mbowe na 'cv' ya mh lema!!