deo_gratias
Member
- Jul 31, 2016
- 13
- 1
hili swali ata mimi najiulizaga sana mkuu..i am curious! ivi tunaponunua bundle kwenye mitandao yetu ya kawaida (tigo, voda n.k), kwa namna flani tunapewa ka portion kadogo ka ku access internet. kitu ninachojiuliza ni kwamba, wao tigo wanapata wapi? normal answer itakua TTCL ambao wanamiliki mkongo. Lakini kuliweka vizuri swali Ni nani anayetengeneza internet bundle in the first place?
mkuu, mpaka umeingia online apa maana yake una bundle la internet (mb). sasa ni nani anayetengeneza internet bundle maana tigo, voda, airtel wananunua ttcl izi bundle wanazotupa. nao ttcl wanazipata wapi? ni kampuni gani inayotengeneza bundle?Sijakuelewa aisee
ni kweli maana baada tu ya whatsapp kuanzisha whatsapp call, bundle zikashuka mno. unajikuta kwa buku unapewa mb 2 ili kuwalazimisha watu watumia voice call ya kawaidaSwali nzuri sana kampuni ya simu inausika 100% kwenye uduma za simu na cha zaid dunia inakoelekea inarudi zama kale fasihi andishi sasa mambo ya voice yanaenda kupungua kwa kasi kubwa faida ya kampuni sasa ivi ni data inakaribia nusu kwa nusu na voice na miaka inavoenda data inakua ishu kubwa mana ukitumia data kuongea through apps ni cheap zaidi na kingine nasikia enzi ya January makamba kwenye wizara usika ili kumpunguzia mtanzania matusi mtandaoni dhidi ya serikali ni kupunguza ukubwa wa bando ndo ikaja flat bando mb7
Still bado ngumu sana kuelewa how it works. Service providers wetu hawa wa kibongo wanatoa ttcl certain amount of bundle ambayo wanatuuzia ki portions portions kulingana na vifurushi. ni nani au kampuni gani inayonufaika at last baada ya mimi kununua kifurushi cha bundle cha elfu 30 cha voda?Kifupi ni kuwa kuna software zinazo weza kupotion bandle kama ni ya buku inatengeneza automatically katika namba husika.
Ok, now nmekuelewamkuu, mpaka umeingia online apa maana yake una bundle la internet (mb). sasa ni nani anayetengeneza internet bundle maana tigo, voda, airtel wananunua ttcl izi bundle wanazotupa. nao ttcl wanazipata wapi? ni kampuni gani inayotengeneza bundle?
Ni kampuni husika maana ttcl ikiuza inauza kwa jumla then hizi SP wanaigawanya kwa watejaStill bado ngumu sana kuelewa how it works. Service providers wetu hawa wa kibongo wanatoa ttcl certain amount of bundle ambayo wanatuuzia ki portions portions kulingana na vifurushi. ni nani au kampuni gani inayonufaika at last baada ya mimi kununua kifurushi cha bundle cha elfu 30 cha voda?
Ttcl wao wanazitoa wapi?Ni kampuni husika maana ttcl ikiuza inauza kwa jumla then hizi SP wanaigawanya kwa wateja
Kuna makampuni makubwa kama seacom wao watandaza nyaya toka ulaya, marekani afrika na kote zinachanja mbuga baharini. Kwa hiyo unakuta ttcl inanunua toka seacom labda kwa mwaka au mwezi wanalipa kiasi kadhaa, then wanakuja kukuuzia wewe mtumiaji au kuuzia ISP anaye kuuzia wewe mtumiaji interms of bundles.Ttcl wao wanazitoa wapi?
Ili kukuelewa hapa inabidi niwe na degree ya ITkuna kitu kinaitwa tier 1 network(level 3).
yaani ISP wa ISP na wanasambaziana internet bureee. hapo ndo bando linapotokea..yaani main backbone ya network.
networks hujikonect pamoja kwa "peering".
hakuna single source ya internet.
apo umenifanya nipate swali lingine, nini tofauti ya packet switched na circuit switched in data communicationmfumo wa internet ni kama maisha tunayo ishi kwa kujua kwa kupata huduma mfano usambazaji wa maji kwenye mabomba yani parket switched network na hii ndio njia ya kuweza kuleta mawasiliano hili huduma zifike.huduma hii inawezwa kusambazwa kwa vifaa maalumu ambavo vitakuwa network address ambayo itatmbulika kuwa kifaa ulicho kuwa nacho kina kumbu kumbu kamili kwa huduma yani ISP kwa utaalamu tunasema client internet(wapata huduma).kwa mifumo ya mawasiliano kuna mifume ya server inayo dili na wateja yani server communication au server internet kwa ajili ya kuwezesha kupanga wateja katika mawasiliano yake na kuhifazi address zote za vifaa au laini hili kuweza kugawanya mifumo ya hizo vifurushi
sawa, nimekuelewapacket switched ni njia ya kitaalamu ambao mfumo wake unatumia teknolojia ya software kiufundi kupanga mipangilio ya address na ciruit switched inatumika ki hardware katika kupeleka data kwa njia ya kielectronic