Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,860
- 12,293
Habari zenu wanaJF wenzangu,
Nauliza hili swali hapa, ila nina uhakika hakuna atakaekuwa tayari kujitokeza kunijibu. Hii ni kwa sababu wengi wanatumiwa ili mkono uende kinywani, lkn umafia wa yule anaewatumia wanaujua vizuri sana.
Hapa nazungumzia ule upande wa kondoo kutembea kichwa chini (usihoji chochote kuhusu mwenyekiti) ambapo mtu akijifanya mbuzi kunyanyua kichwa juu (kuhoji kuhusu mwenyekiti) anakumbana na hatari mbele yake.
Makamu mwenyekiti anaeishi Ulaya na familia yake, juzi amejaribu kuwatoa watu uoga wa kuhoji au kukosoa, lkn mpaka sasa watu bado wanaogopa kuanza kukosoa, au kujitokeza kuhoji haswa wakikumbuka yale yaliomtokea Chacha Wangwe, Zito Kabwe na wengine wengi wa aina hiyo.
Sio kwamba wanachama wao hawajui kuwa mwenyekiti wao chama kishamshinda, na juhudi zake za kukijenga chama bila kuwa na makamu wake karibu zimeshindikana. Au sio kwamba wanachama wao hawakumbuki ile kauli ya mwenyekiti wao kuwa ataachia kiti cha uenyekiti mwaka huu wa 2023, baada ya kupigiwa kelele huko nyuma na wenye uchungu na chama ajiuzulu, lahasha.
Wanajua na wanakumbuka sana, lkn nani atakaekuwa tayari kumchalenge Mafia wa chama ili mchalenjiji huyo aweke maisha yake na ya familia yake hatarini?
Wengi wanajiuliza, ikiwa makamu ambae yuko Ulaya anaogopa kumface mwenyekiti, na badala yake anatumia mafumbo ya hapa na pale, je wao ambao wapo karibu na mwenyekiti huyo watatoa wapi ujasiri wa kuhoji na kuuliza siku rasmi ya mwenyekiti kuachia ofisi?
Nauliza hili swali hapa, ila nina uhakika hakuna atakaekuwa tayari kujitokeza kunijibu. Hii ni kwa sababu wengi wanatumiwa ili mkono uende kinywani, lkn umafia wa yule anaewatumia wanaujua vizuri sana.
Hapa nazungumzia ule upande wa kondoo kutembea kichwa chini (usihoji chochote kuhusu mwenyekiti) ambapo mtu akijifanya mbuzi kunyanyua kichwa juu (kuhoji kuhusu mwenyekiti) anakumbana na hatari mbele yake.
Makamu mwenyekiti anaeishi Ulaya na familia yake, juzi amejaribu kuwatoa watu uoga wa kuhoji au kukosoa, lkn mpaka sasa watu bado wanaogopa kuanza kukosoa, au kujitokeza kuhoji haswa wakikumbuka yale yaliomtokea Chacha Wangwe, Zito Kabwe na wengine wengi wa aina hiyo.
Sio kwamba wanachama wao hawajui kuwa mwenyekiti wao chama kishamshinda, na juhudi zake za kukijenga chama bila kuwa na makamu wake karibu zimeshindikana. Au sio kwamba wanachama wao hawakumbuki ile kauli ya mwenyekiti wao kuwa ataachia kiti cha uenyekiti mwaka huu wa 2023, baada ya kupigiwa kelele huko nyuma na wenye uchungu na chama ajiuzulu, lahasha.
Wanajua na wanakumbuka sana, lkn nani atakaekuwa tayari kumchalenge Mafia wa chama ili mchalenjiji huyo aweke maisha yake na ya familia yake hatarini?
Wengi wanajiuliza, ikiwa makamu ambae yuko Ulaya anaogopa kumface mwenyekiti, na badala yake anatumia mafumbo ya hapa na pale, je wao ambao wapo karibu na mwenyekiti huyo watatoa wapi ujasiri wa kuhoji na kuuliza siku rasmi ya mwenyekiti kuachia ofisi?