CHADEMA imekufa au viongozi wamesusiwa kuiongoza?

Maryam Malya

Senior Member
Nov 29, 2021
115
258
Ameandika Dr. Sisimizi

Bado viongozi wa Chadema wameendelea kuwashangaza wanachama wao na hasa hatua yao ya kusitisha Oparesheni za chama walizokua wakizifanya kwa kutaja sababu ya uongo kuwa walisubiri darasa la 4 wamalize mtihani wa taifa na wakati licha ya wanafunzi kumaliza mtihani, bado chama hicho kimeendelea kukaa kimya.

Kinachowashangaza zaidi hata vikao vya kikatiba vya Kamati Kuu, vimeshindwa kufanyika bila wajumbe wake kuambiwa sababu ya msingi inayoshawishi kikao hicho muhimu cha maamuzi kisifanyike.

Mmoja wa wajumbe wa Kamati Kuu alijaribu kuhoji kwenye grupu la chama nini sababu haswa ya chama kutofanya shughuli yeyote kwa sasa na ukizingatia ni muda mchache tu umesalia kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa 2025, bahati mbaya Katibu Mkuu John Mnyika alimjibu atulia apunguze Speed

Baada ya malumbano ya hoja ya ukimya wa chama kuibuka kwenye Grupu rasmi la Chama, ikabidi ifanyike igizo maalum la kuwatuliza wanachama na baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu ambao wengi wao walianza kuhisi kuwepo kwa pande mbili baina ya Tundu Lissu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, ndiyo likaanyika igizo Mbowe kuwaita baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu na kukutana nao kwenye jumba lake la kifahari Machame ili kuwazuga watanzania na wanachama wao kuwa chama kinaendelea na shughuli zake za kila siku lakini uhalisia hakuna kinachofanyika.

Kiufupi kwa sasa Chadema ni kama imesimama kwa muda, Vikao vya Chama havifanyiki, Mikutano ya hadhara haifanyiki, Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu amekua msafiri, Mwenyekiti Mbowe anajipongeza kwa kumalizia ujenzi wa Nyumba ya Milioni 500.

Swali la msingi ambalo wanajiuliza wanachadema Je Chadema imeshakufa.? au viongozi wamesusa kuiongoza.?
 
Wewe mwanake wa Kibosho na siasa wapi na wapi? Wacha kulisha watu matango pori humu JF.
 
Ameandika Dr. Sisimizi

Bado viongozi wa Chadema wameendelea kuwashangaza wanachama wao na hasa hatua yao ya kusitisha Oparesheni za chama walizokua wakizifanya kwa kutaja sababu ya uongo kuwa walisubiri darasa la 4 wamalize mtihani wa taifa na wakati licha ya wanafunzi kumaliza mtihani, bado chama hicho kimeendelea kukaa kimya.

Kinachowashangaza zaidi hata vikao vya kikatiba vya Kamati Kuu, vimeshindwa kufanyika bila wajumbe wake kuambiwa sababu ya msingi inayoshawishi kikao hicho muhimu cha maamuzi kisifanyike.

Mmoja wa wajumbe wa Kamati Kuu alijaribu kuhoji kwenye grupu la chama nini sababu haswa ya chama kutofanya shughuli yeyote kwa sasa na ukizingatia ni muda mchache tu umesalia kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa 2025, bahati mbaya Katibu Mkuu John Mnyika alimjibu atulia apunguze Speed

Baada ya malumbano ya hoja ya ukimya wa chama kuibuka kwenye Grupu rasmi la Chama, ikabidi ifanyike igizo maalum la kuwatuliza wanachama na baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu ambao wengi wao walianza kuhisi kuwepo kwa pande mbili baina ya Tundu Lissu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, ndiyo likaanyika igizo Mbowe kuwaita baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu na kukutana nao kwenye jumba lake la kifahari Machame ili kuwazuga watanzania na wanachama wao kuwa chama kinaendelea na shughuli zake za kila siku lakini uhalisia hakuna kinachofanyika.

Kiufupi kwa sasa Chadema ni kama imesimama kwa muda, Vikao vya Chama havifanyiki, Mikutano ya hadhara haifanyiki, Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu amekua msafiri, Mwenyekiti Mbowe anajipongeza kwa kumalizia ujenzi wa Nyumba ya Milioni 500.

Swali la msingi ambalo wanajiuliza wanachadema Je Chadema imeshakufa.? au viongozi wamesusa kuiongoza.?


Pelekeni ujinga wenu
 
Ameandika Dr. Sisimizi

Bado viongozi wa Chadema wameendelea kuwashangaza wanachama wao na hasa hatua yao ya kusitisha Oparesheni za chama walizokua wakizifanya kwa kutaja sababu ya uongo kuwa walisubiri darasa la 4 wamalize mtihani wa taifa na wakati licha ya wanafunzi kumaliza mtihani, bado chama hicho kimeendelea kukaa kimya.

Kinachowashangaza zaidi hata vikao vya kikatiba vya Kamati Kuu, vimeshindwa kufanyika bila wajumbe wake kuambiwa sababu ya msingi inayoshawishi kikao hicho muhimu cha maamuzi kisifanyike.

Mmoja wa wajumbe wa Kamati Kuu alijaribu kuhoji kwenye grupu la chama nini sababu haswa ya chama kutofanya shughuli yeyote kwa sasa na ukizingatia ni muda mchache tu umesalia kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa 2025, bahati mbaya Katibu Mkuu John Mnyika alimjibu atulia apunguze Speed

Baada ya malumbano ya hoja ya ukimya wa chama kuibuka kwenye Grupu rasmi la Chama, ikabidi ifanyike igizo maalum la kuwatuliza wanachama na baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu ambao wengi wao walianza kuhisi kuwepo kwa pande mbili baina ya Tundu Lissu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, ndiyo likaanyika igizo Mbowe kuwaita baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu na kukutana nao kwenye jumba lake la kifahari Machame ili kuwazuga watanzania na wanachama wao kuwa chama kinaendelea na shughuli zake za kila siku lakini uhalisia hakuna kinachofanyika.

Kiufupi kwa sasa Chadema ni kama imesimama kwa muda, Vikao vya Chama havifanyiki, Mikutano ya hadhara haifanyiki, Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu amekua msafiri, Mwenyekiti Mbowe anajipongeza kwa kumalizia ujenzi wa Nyumba ya Milioni 500.

Swali la msingi ambalo wanajiuliza wanachadema Je Chadema imeshakufa.? au viongozi wamesusa kuiongoza.?
Alikufa yule mwehu aliyetaka kuiua Chadema. Na kama una matamanio hayo nawe utakufa ukiiacha Chadema ikizidi kushamiri.
 
Ameandika Dr. Sisimizi

Bado viongozi wa Chadema wameendelea kuwashangaza wanachama wao na hasa hatua yao ya kusitisha Oparesheni za chama walizokua wakizifanya kwa kutaja sababu ya uongo kuwa walisubiri darasa la 4 wamalize mtihani wa taifa na wakati licha ya wanafunzi kumaliza mtihani, bado chama hicho kimeendelea kukaa kimya.

Kinachowashangaza zaidi hata vikao vya kikatiba vya Kamati Kuu, vimeshindwa kufanyika bila wajumbe wake kuambiwa sababu ya msingi inayoshawishi kikao hicho muhimu cha maamuzi kisifanyike.

Mmoja wa wajumbe wa Kamati Kuu alijaribu kuhoji kwenye grupu la chama nini sababu haswa ya chama kutofanya shughuli yeyote kwa sasa na ukizingatia ni muda mchache tu umesalia kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa 2025, bahati mbaya Katibu Mkuu John Mnyika alimjibu atulia apunguze Speed

Baada ya malumbano ya hoja ya ukimya wa chama kuibuka kwenye Grupu rasmi la Chama, ikabidi ifanyike igizo maalum la kuwatuliza wanachama na baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu ambao wengi wao walianza kuhisi kuwepo kwa pande mbili baina ya Tundu Lissu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, ndiyo likaanyika igizo Mbowe kuwaita baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu na kukutana nao kwenye jumba lake la kifahari Machame ili kuwazuga watanzania na wanachama wao kuwa chama kinaendelea na shughuli zake za kila siku lakini uhalisia hakuna kinachofanyika.

Kiufupi kwa sasa Chadema ni kama imesimama kwa muda, Vikao vya Chama havifanyiki, Mikutano ya hadhara haifanyiki, Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu amekua msafiri, Mwenyekiti Mbowe anajipongeza kwa kumalizia ujenzi wa Nyumba ya Milioni 500.

Swali la msingi ambalo wanajiuliza wanachadema Je Chadema imeshakufa.? au viongozi wamesusa kuiongoza.?
Haya ndio matamanio ya Kila jizi la ccm.
 
Ameandika Dr. Sisimizi

Bado viongozi wa Chadema wameendelea kuwashangaza wanachama wao na hasa hatua yao ya kusitisha Oparesheni za chama walizokua wakizifanya kwa kutaja sababu ya uongo kuwa walisubiri darasa la 4 wamalize mtihani wa taifa na wakati licha ya wanafunzi kumaliza mtihani, bado chama hicho kimeendelea kukaa kimya.

Kinachowashangaza zaidi hata vikao vya kikatiba vya Kamati Kuu, vimeshindwa kufanyika bila wajumbe wake kuambiwa sababu ya msingi inayoshawishi kikao hicho muhimu cha maamuzi kisifanyike.

Mmoja wa wajumbe wa Kamati Kuu alijaribu kuhoji kwenye grupu la chama nini sababu haswa ya chama kutofanya shughuli yeyote kwa sasa na ukizingatia ni muda mchache tu umesalia kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa 2025, bahati mbaya Katibu Mkuu John Mnyika alimjibu atulia apunguze Speed

Baada ya malumbano ya hoja ya ukimya wa chama kuibuka kwenye Grupu rasmi la Chama, ikabidi ifanyike igizo maalum la kuwatuliza wanachama na baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu ambao wengi wao walianza kuhisi kuwepo kwa pande mbili baina ya Tundu Lissu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, ndiyo likaanyika igizo Mbowe kuwaita baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu na kukutana nao kwenye jumba lake la kifahari Machame ili kuwazuga watanzania na wanachama wao kuwa chama kinaendelea na shughuli zake za kila siku lakini uhalisia hakuna kinachofanyika.

Kiufupi kwa sasa Chadema ni kama imesimama kwa muda, Vikao vya Chama havifanyiki, Mikutano ya hadhara haifanyiki, Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu amekua msafiri, Mwenyekiti Mbowe anajipongeza kwa kumalizia ujenzi wa Nyumba ya Milioni 500.

Swali la msingi ambalo wanajiuliza wanachadema Je Chadema imeshakufa.? au viongozi wamesusa kuiongoza.?
HIVI MBOWE NI KIONGOZI ?
 
Ameandika Dr. Sisimizi

Bado viongozi wa Chadema wameendelea kuwashangaza wanachama wao na hasa hatua yao ya kusitisha Oparesheni za chama walizokua wakizifanya kwa kutaja sababu ya uongo kuwa walisubiri darasa la 4 wamalize mtihani wa taifa na wakati licha ya wanafunzi kumaliza mtihani, bado chama hicho kimeendelea kukaa kimya.

Kinachowashangaza zaidi hata vikao vya kikatiba vya Kamati Kuu, vimeshindwa kufanyika bila wajumbe wake kuambiwa sababu ya msingi inayoshawishi kikao hicho muhimu cha maamuzi kisifanyike.

Mmoja wa wajumbe wa Kamati Kuu alijaribu kuhoji kwenye grupu la chama nini sababu haswa ya chama kutofanya shughuli yeyote kwa sasa na ukizingatia ni muda mchache tu umesalia kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa 2025, bahati mbaya Katibu Mkuu John Mnyika alimjibu atulia apunguze Speed

Baada ya malumbano ya hoja ya ukimya wa chama kuibuka kwenye Grupu rasmi la Chama, ikabidi ifanyike igizo maalum la kuwatuliza wanachama na baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu ambao wengi wao walianza kuhisi kuwepo kwa pande mbili baina ya Tundu Lissu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, ndiyo likaanyika igizo Mbowe kuwaita baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu na kukutana nao kwenye jumba lake la kifahari Machame ili kuwazuga watanzania na wanachama wao kuwa chama kinaendelea na shughuli zake za kila siku lakini uhalisia hakuna kinachofanyika.

Kiufupi kwa sasa Chadema ni kama imesimama kwa muda, Vikao vya Chama havifanyiki, Mikutano ya hadhara haifanyiki, Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu amekua msafiri, Mwenyekiti Mbowe anajipongeza kwa kumalizia ujenzi wa Nyumba ya Milioni 500.

Swali la msingi ambalo wanajiuliza wanachadema Je Chadema imeshakufa.? au viongozi wamesusa kuiongoza.?
Chadema kila mwaka inakufa zaidi ya mara mbili
 
Huu ni mwaka wa ngapi sijui chadema imekufa, wanakufa mara ngapi kwa siku
Hata ungetumia kijambio kufikiri ingetosha kukujulisha jibu sahihi kuwa chadema ni mfu aliye simama ...watu wanakiunga mkono tu kwa sababu hakuna m badala .....ndiyo maana mbowe kwenye makubaliano yake na samia ,Mbowe alitaka sana kuzuiwa kwa usajili wa vyama kama viwili vipya ambavyo anavihofia kuwa vingefanikiwa kuizima kabisa chadema .....WAPO WATU HAWAJUI KUWA, KUKWAMISHWA KWA USAJILI MA VYAMA VIPYA VYA SIASA NCHINI NI AJENDA YA SIRI YA CCM CHINI YA MUHUNI SAMIA NA MUHUNI MBOWE NA ZUZU ZITTO KABWE..
Neno muhuni hapo namaanisha wote wanao chukia UZALENDO.
 
Hata ungetumia kijambio kufikiri ingetosha kukujulisha jibu sahihi kuwa chadema ni mfu aliye simama ...watu wanakiunga mkono tu kwa sababu hakuna m badala .....ndiyo maana mbowe kwenye makubaliano yake na samia ,Mbowe alitaka sana kuzuiwa kwa usajili wa vyama kama viwili vipya ambavyo anavihofia kuwa vingefanikiwa kuizima kabisa chadema .....WAPO WATU HAWAJUI KUWA, KUKWAMISHWA KWA USAJILI MA VYAMA VIPYA VYA SIASA NCHINI NI AJENDA YA SIRI YA CCM CHINI YA MUHUNI SAMIA NA MUHUNI MBOWE NA ZUZU ZITTO KABWE..
Neno muhuni hapo namaanisha wote wanao chukia UZALENDO.
🤣🤣🤣🤣 afisaubashiri jinias
 
Hata ungetumia kijambio kufikiri ingetosha kukujulisha jibu sahihi kuwa chadema ni mfu aliye simama ...watu wanakiunga mkono tu kwa sababu hakuna m badala .....ndiyo maana mbowe kwenye makubaliano yake na samia ,Mbowe alitaka sana kuzuiwa kwa usajili wa vyama kama viwili vipya ambavyo anavihofia kuwa vingefanikiwa kuizima kabisa chadema .....WAPO WATU HAWAJUI KUWA, KUKWAMISHWA KWA USAJILI MA VYAMA VIPYA VYA SIASA NCHINI NI AJENDA YA SIRI YA CCM CHINI YA MUHUNI SAMIA NA MUHUNI MBOWE NA ZUZU ZITTO KABWE..
Neno muhuni hapo namaanisha wote wanao chukia UZALENDO.

Chama kufa = kufutwa hakina wananchama, hakipo.
Kwa maelezo yako hapo ni blah blah blah

Kifutwe kabisa thats how kitakufa otherwise story zinatakuwa nyingi
 
afisaubashiri jinias
Huku ndiyo kwangu ... kule na refreshii tu hoja yoyote ngumu niulize mimi ...acheni kuamini wasomi feki wa tz waprofesa uchwara kuanzia hoja za dini hadi siasa ...hoja za sheria na haki nk
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Je Chadema imeshakufa.?
Kwishney. Wamekwisha.

Sasa wanaanza siasa zao za Chuki hapa mtandaoni, matusi na kumkejeli na kumzodoa Mtanzania. Mru mweusi.

Utawasikia kina Erythrocyte Tindo Lissu wannabe econonist na mawakala wengine wa mataifa ya nje wakija na matamshi yao yaliyoshapitwa na wakati. Ma script yale yale. Oh konyo konyo!

Hakika watafutiwe psychologist wakapimwe, wameshindwa kuvuka stage za maombolezo na wamekwama kwenye stage ya Hasira. Hao ndio CHADEMA. Unashindwaje kusema wamekwisha?
 
Chama kufa = kufutwa hakina wananchama, hakipo.
Kwa maelezo yako hapo ni blah blah blah

Kifutwe kabisa thats how kitakufa otherwise story zinatakuwa nyingi
Sasa kama chadema kimeshindwa hata kujisimamia chenyewe hadi kuna wabunge 19 wasiojulikana maana yake mfumo wa chadema ni mbovu kuweza kukabiliana na wahuni na majambazi ya ccm....
MC mbowe ni muhuni haswa niulize mimi nikupe siri zake ....mbowe anasema yeye pesa kwake ni kama tako na pichu ....anasema mbele ya pesa haki si kitu kwake.
 
Ameandika Dr. Sisimizi

Bado viongozi wa Chadema wameendelea kuwashangaza wanachama wao na hasa hatua yao ya kusitisha Oparesheni za chama walizokua wakizifanya kwa kutaja sababu ya uongo kuwa walisubiri darasa la 4 wamalize mtihani wa taifa na wakati licha ya wanafunzi kumaliza mtihani, bado chama hicho kimeendelea kukaa kimya.

Kinachowashangaza zaidi hata vikao vya kikatiba vya Kamati Kuu, vimeshindwa kufanyika bila wajumbe wake kuambiwa sababu ya msingi inayoshawishi kikao hicho muhimu cha maamuzi kisifanyike.

Mmoja wa wajumbe wa Kamati Kuu alijaribu kuhoji kwenye grupu la chama nini sababu haswa ya chama kutofanya shughuli yeyote kwa sasa na ukizingatia ni muda mchache tu umesalia kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa 2025, bahati mbaya Katibu Mkuu John Mnyika alimjibu atulia apunguze Speed

Baada ya malumbano ya hoja ya ukimya wa chama kuibuka kwenye Grupu rasmi la Chama, ikabidi ifanyike igizo maalum la kuwatuliza wanachama na baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu ambao wengi wao walianza kuhisi kuwepo kwa pande mbili baina ya Tundu Lissu na Mwenyekiti Freeman Mbowe, ndiyo likaanyika igizo Mbowe kuwaita baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu na kukutana nao kwenye jumba lake la kifahari Machame ili kuwazuga watanzania na wanachama wao kuwa chama kinaendelea na shughuli zake za kila siku lakini uhalisia hakuna kinachofanyika.

Kiufupi kwa sasa Chadema ni kama imesimama kwa muda, Vikao vya Chama havifanyiki, Mikutano ya hadhara haifanyiki, Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu amekua msafiri, Mwenyekiti Mbowe anajipongeza kwa kumalizia ujenzi wa Nyumba ya Milioni 500.

Swali la msingi ambalo wanajiuliza wanachadema Je Chadema imeshakufa.? au viongozi wamesusa kuiongoza.?
Jengeni chama chenu ya chadema wachie wao, kwani chadema ikifa ccm shida yenu nini ? Mnajitekenya na kucheka wenyewe

Ccm inazidi kusambalatika hata kwa kile kidogo ilibaki nacho ,daily mpo na mambo ya Chadema
 
Back
Top Bottom