kweli jf ni zaidi ya chombo cha habariRamadhan Madabida aligombea ubunge kilwa na kushindwa na mgombea wa cuf bwn Bungala aka b.wege,ni mmiliki wa hiki kiwanda na mkewe Zarina mwenyekiti wa uwt wa Dsm aliyepita.
Ofisi zake zipo pale mikocheni opposite na talk of the town,kwa warioba
kWA profile kama hizi nadhani itakuwa wazi sasa ni kwa nini hii nchi haipigi hatua. lakini kama ni kweli watu wale wale walio tufikisha katika matatizo makubwa haya ya kiuchumi na kijamii wameamua sasa kutengeneza dawa ili watuue, kitu gani kingine tunaweza kusema!!!Member of Parliament CV
GENERAL Salutation Honourable Member picture
First Name: Zarina Middle Name: Shamte Last Name: Madabida Member Type: Special Seat Constituent: No Constituency Political Party: CCM Office Location: Box 3850, Dar Es Salaam Office Phone: +255 754 400804 Ext.: Office Fax: Office E-mail: zmadabida@parliament.go.tz Member Status: Current Member Date of Birth 30 April 1953
EDUCATION School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level Wailes Primary School Primary Education 1961 1967 PRIMARY Jangwani Secondary School O-Level Education 1968 1971 SECONDARY University of Dar Es Salaam BSc. (Pharmacy) 1976 1979 GRADUATE University of Ghent, Belgium Pharmacist 1981 1981 CERTIFICATE Government Chemist Technical School Diploma (Chemical Analyst) 1972 1974 DIPLOMA
EMPLOYMENT HISTORY Company Name Position From Date To Date The Parliament of Tanzania Member - Special Seat 2010 2015 Tanzania Pharmaceutical Industry Director 1997 Todate Mpewani Pharmacy Director 1994 1997 NAPCO Marketing Manager 1981 1993 Government Chemists Chemical Technician 1974 1975
POLITICAL EXPERIENCE Ministry/Political Party/Location Position From To Chama Cha Mapinduzi, CCM Chairperson - UWT (Dar Es Salaam Region) 2008 Chama Cha Mapinduzi, CCM Chairperson (Ward Economics) 2006 Chama Cha Mapinduzi, CCM Guardian (NAPCO Branch) 1983 Government Chemists Chemical Technician 1974 1975
Ni hao hao wanaotengeneza Orijginal ndo wanaaotengeneza counterfeitA point of interest, ni nani wa mbele na nyuma ya pazia wanamiliki hiki kiwanda? acheni wanaojua watujuze.
Ni ya mbunge mmoja wa ccm yeye na mume wake majina yao yamenitoka kidogo ila walianza kuwa maduka ya phamarcy baadae huyo mama akawa anachezesha upatu baadae akawadhurumu wanawake wenzake yeye na mume wake ndio wakafungua kiwanda cha Dawa wenye data zaidi watakuja kuwapa A-Z
Ni jambo la hatari sana kuleta siasa katika afya za watu waziri wa afya(dr. Hussein mwinyi) anamsimamisha kazi mkuu wa msd, na kuzema hizo dawa feki zimeshatolewa sokoni, je ni watu wangapi wameshazitumia hizo dawa, ni madhara kiasi gani wamepata au watapata? Kwa kweli nashauri zile sheria za china zije na zitumike, ili ujinga kama huu usiendelee bila hivyo naona hapa ni masihala na blablaaaa kila kitu huku watu maskiini wakiangamia. Huyo mmiliki wa hicho kiwanda atakuwa na backup ya haohao wezi walipo serikalini wakiongozwa na jk mwenye, maana huyu jk na uko wake wameamua kuigeuza tz ni kitega uchumi chao, wanafanya na kupora kila kitu anytime...
Inatakiwa tuige sheria za China ni kunyonga tu watu kama hawa.
kWA profile kama hizi nadhani itakuwa wazi sasa ni kwa nini hii nchi haipigi hatua. lakini kama ni kweli watu wale wale walio tufikisha katika matatizo makubwa haya ya kiuchumi na kijamii wameamua sasa kutengeneza dawa ili watuue, kitu gani kingine tunaweza kusema!!!
riz 1 hakosi kwenye hii deal..when it comes to money this boy is a ghost..he is everywhere
Dawa ya binadamu ni kumuwekea sheria kali kwenye mali ya umma.
they will never succeed, tufiakwa! Hivi tulitokana wapi na watu hawa???ni kweli kiwanda kilichositishwa kutengeneza arvs ni mali ya ukoo wa ramadhani madabida na mkewe ambae ni mbunge wa ccm!! Hii familia iliingia kwenye ulingo wa siasa kama njia ya kukwepa deni kubwa la serikali wanalodaiwa baada ya kununua kiwanda toka psrc.
Bwana madabida ni mjumbe wa nec ya ccm na sasa hivi yuko kwenye kuwania uenyekiti wa ccm mkoa wa dar. Wakati mkewe amebwagwa kwenye kugombea uenyekiti wa uwt mkoa huo huo. Hawa jamaa ni rafiki wa karibu wa mkweree na ndio maana wanataka kufanya kama alivyofanya swahiba wao yaani kufanya chama mkoa wa dar ni cha familia yao!!!