Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,753
- 15,227
Mkurugenzi mkuu wa kiwanda cha MWATEX amewachana viongozi wa Tanesco mbele ya mkuu wa mkoa wa Mwanza bwana Amos Makala kwa kukisababishia hasara ya millioni 100 kwa siku kiwanda hicho kutokana na mgao wa umeme unaoendelea mkoani humo bila kufuata utaratibu!.
Mkurugenzi huyo amesema Tanesco wamekuwa wakikata umeme kwa zaidi ya mara tano kwa siku na kupelekea baadhi ya mashine kuungua.
View: https://youtu.be/QnZmd8l8P8s?si=BUtgKaZ5-dyr9xUB
Mkurugenzi huyo amesema Tanesco wamekuwa wakikata umeme kwa zaidi ya mara tano kwa siku na kupelekea baadhi ya mashine kuungua.
View: https://youtu.be/QnZmd8l8P8s?si=BUtgKaZ5-dyr9xUB