Ni lazima atakuwa mjamaa kutoka kule nchi ya mbali wanakolala barabarani ila wakija huku wananing'inia kwenye maghorofa.UUaji wa aina hiyo unatakiwa ushughulikiwe kwa nguvu zote
NI mtanzania na kada wa chama cha mapinduzi, alishawahi kupiga watu kwenye upatu akapeta, pamoja na serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania
kwani dawa kabla ya kuruhusiwa kuuzwa hazipiti Tbs?kama ndivyo wataalamu wa TBS wamekula fungu la kumi.sasa hapa wa kulaumiwa nadhani ni TFDA
Punde tu chama kilipomchagua jk kuwa mwenyekiti then maharamia kama hawa wakapata nguvu za ajabu. At least this is how i see it.they will never succeed, tufiakwa! Hivi tulitokana wapi na watu hawa???