Ni nani ameruhusu maigizo kama haya Ikulu?

Leak

JF-Expert Member
Feb 22, 2012
52,211
42,074
Hivi ni kweli hawa watu walikwenda kufanya baiashara ya kuuza madafu au walikwenda kuonesha maonesho ya madafu
Nani ana ruhusu vitu kama hivi Ikulu?

Yani wanajaribu kusema na kufanya nini? Ni wangapi wamenunua hayo madafu kuwaunga mkono hawa wajasiriamali?
IMG_2075.jpeg
 
Hivi ni kweli hawa watu walikwenda kufanya baiashara ya kuuza madafu au walikwenda kuonesha maonesho ya madafu
Nani ana ruhusu vitu kama hivi Ikulu?

Yani wanajaribu kusema na kufanya nini? Ni wangapi wamenunua hayo madafu kuwaunga mkono hawa wajasiriamali?
View attachment 2932967
Hawa wauza madafu mbona wamechoka hivyo?

Maana wanaouza wameshiba na hawana hizo hali za mwonekano.
 
Hivi ni kweli hawa watu walikwenda kufanya baiashara ya kuuza madafu au walikwenda kuonesha maonesho ya madafu
Nani ana ruhusu vitu kama hivi Ikulu?

Yani wanajaribu kusema na kufanya nini? Ni wangapi wamenunua hayo madafu kuwaunga mkono hawa wajasiriamali?
View attachment 2932967
Wakamue kwenye tozo na Kodi alafu Waite kwenye maonyesho feki
 
Hivi ni kweli hawa watu walikwenda kufanya baiashara ya kuuza madafu au walikwenda kuonesha maonesho ya madafu
Nani ana ruhusu vitu kama hivi Ikulu?

Yani wanajaribu kusema na kufanya nini? Ni wangapi wamenunua hayo madafu kuwaunga mkono hawa wajasiriamali?
View attachment 2932967
Akili zingine bana dah!

Lakini mashAllah mama amependeza sana leo. Ndo safari ya kurudi ujanani nini?
 
Back
Top Bottom