sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Sina Nia ya kumtusi Rais wa nchi ila Mimi kama Raia mwema wa Taifa Ili lazima nihoji pale ninapo his katiba yetu inavunjwa na watu ambao kimsingi mnakula KIAPO Cha kuilinda katiba.
Leo hii baadhi ya watu tunajiuliza Rais aliyetokea chama Cha mapinduzi ni Rais wa WANANCHI ambao ni Wanachama wa CCM tu?
Najiuliza Rais wa nchi yetu anachagua. Nani wa kwenda ikulu ambayo ni Mali ya watanzania wote?
Leo hii hii vijana wetu ambao tumewapeleka shule wenyewe ambao wamesoma Kwa Kodi za nchi yetu hawajaewa ma'ana ya mkataba wa bandari wanakuja ikulu Ili Wewe ulitewekwa ikulu na Watanzania uwaelemishe unawatumia watua ambao hawawezi hata elezea ukurasa mmoja wa mkataba WA bandar wawakamate na kiwasweka rumande?
Najiuliza Rais wenye haki ya kukanyaga ikulu ni akina nani? Ni wale wanaoimba mapambio ya mama unaupiga mwingi? Ni vijana wa umoja wa UVCCM wanaongoza kwa kuiba pesa za Halimashauri mama?
Hivi Rais upo ikulu kuchagua chakula Ili hali hapo Wewe sio mkulima?
Aliyevunja katiba Kwa kiwakamata hao vijana walio andamana ni nani ni wewe amiri jeshi mkuu au?
Rais wapinzani wako,wanaharakati ni watu wako, na ccm ni wako hacha kuchagua wakukufurahisha kufanya hivyo ni SAWA na kuchagua chakula Cha rojo lilihali bara Kuna ugali na Michele.
Leo hii baadhi ya watu tunajiuliza Rais aliyetokea chama Cha mapinduzi ni Rais wa WANANCHI ambao ni Wanachama wa CCM tu?
Najiuliza Rais wa nchi yetu anachagua. Nani wa kwenda ikulu ambayo ni Mali ya watanzania wote?
Leo hii hii vijana wetu ambao tumewapeleka shule wenyewe ambao wamesoma Kwa Kodi za nchi yetu hawajaewa ma'ana ya mkataba wa bandari wanakuja ikulu Ili Wewe ulitewekwa ikulu na Watanzania uwaelemishe unawatumia watua ambao hawawezi hata elezea ukurasa mmoja wa mkataba WA bandar wawakamate na kiwasweka rumande?
Najiuliza Rais wenye haki ya kukanyaga ikulu ni akina nani? Ni wale wanaoimba mapambio ya mama unaupiga mwingi? Ni vijana wa umoja wa UVCCM wanaongoza kwa kuiba pesa za Halimashauri mama?
Hivi Rais upo ikulu kuchagua chakula Ili hali hapo Wewe sio mkulima?
Aliyevunja katiba Kwa kiwakamata hao vijana walio andamana ni nani ni wewe amiri jeshi mkuu au?
Rais wapinzani wako,wanaharakati ni watu wako, na ccm ni wako hacha kuchagua wakukufurahisha kufanya hivyo ni SAWA na kuchagua chakula Cha rojo lilihali bara Kuna ugali na Michele.