Ritchy Breezy
JF-Expert Member
- Dec 9, 2020
- 392
- 579
Habr za wakati huu ndugu zangu.
iko hivi..
Kuna Jamaa yangu kanipa mchongo wa kufanya kazi hotelini Zenji, nafikiri ni hizi hotel za kitalii au zinazopata wageni kutoka nchi tofauti muhimu ameniambia kama kingereza kinapanda kazi nitapata.. Kuhusu lugha hakuna tatzo japo sizungumzi english mara kwa mara ila nikianza kukitumia naamini kitanyoka vizuri.
Changamoto ilonifanya nihataji msaada wenu ni juu ya postion! Wapendwa ni postion ipi kwa hizi hotel za design hii ni nzuri na hazina kashkash sana na usumbufu mwing+kero? Mwenye ako na exprience na hizi mambo za hotel plz help me kujua best postion sijawahi kufanya kazi hoteln kanipa uhuru ya kuchagua postion sabu ana jamaa ake ambae anahusika kuregulate maswala kwenye hotel huska, ikumbukwe sjawahi kufika Z'bar..
END.
iko hivi..
Kuna Jamaa yangu kanipa mchongo wa kufanya kazi hotelini Zenji, nafikiri ni hizi hotel za kitalii au zinazopata wageni kutoka nchi tofauti muhimu ameniambia kama kingereza kinapanda kazi nitapata.. Kuhusu lugha hakuna tatzo japo sizungumzi english mara kwa mara ila nikianza kukitumia naamini kitanyoka vizuri.
Changamoto ilonifanya nihataji msaada wenu ni juu ya postion! Wapendwa ni postion ipi kwa hizi hotel za design hii ni nzuri na hazina kashkash sana na usumbufu mwing+kero? Mwenye ako na exprience na hizi mambo za hotel plz help me kujua best postion sijawahi kufanya kazi hoteln kanipa uhuru ya kuchagua postion sabu ana jamaa ake ambae anahusika kuregulate maswala kwenye hotel huska, ikumbukwe sjawahi kufika Z'bar..
END.