Sio lazima iwe gharama. Kwani huwezi kupunguza idadi ya majimbo kwa zaidi ya nusu ili pia uwe na nusu nyingine ya wawakilishi ambao ni senators! Ni utashi tu na tamaduni! US wana House of representatives na Senate ambao kwa pamoja wanatengeneza Congress, na wameweza kubalance gharama. Hata kama sioni tija kwa sasa bado kuna uwezakano wa kutoka unicameral na kuwa bicameral kwa gharama zilezile.Huoni kama ni gharama? You can’t be serious!!
Hiyo tija unayoizungumzia inaweza kupatikana na muundo huu huu tulionao sasa!
Walianza kuwa elected 2013 baada ya mabadiliko ya katiba,Kenya wana senators, vipi unaweza kuwaita wale senators ni mabwanyenye?
Hahaha sasa hao wote umewataja wana sifa, Babu Tale yupo successful kwenye Music industry so atachangua Arts, Musukuma ni businessmam kwenye madini na usafirishaji, Juakali kasomea sheria (nadhani) which ndo field muhimu sana kwa mbunge kujua sheriaUmeleta mjadala mzuri tu. Bunge la Tanzania libadilishwe sheria za namna ya kugombea.
1. Uwe na angalau accomplishments kadhaa kwenye jamii katika sekta yako. Sio unafyatuka uko kama Babu Tale unagombea.
2. Uwe na exposure na sekta flani walau moja na uwe expert uko. Musukuma anajua nini kwa mfano, muda mwingi anautumia kuchekesha sijawahi ona mchango wake mzito.
3. Uwe na uwezo wa kifedha kuanzia kiasi flani, yani usiwe na njaa. Sio unakuja kuwa kama Lijualikani mwanaume mzima na kende zako unalia mbele ya camera, alafu wewe ndio ulikuwa unatunga sheria bungeni.
Tukirekebisha mambo mengi na sheria bunge linajitosheleza. Senate kwa nchi za Kiafrika ni kutengeneza instability na kuzidisha usumbufu. Kama kule Congo DR kuna viongozi wa majimbo hawaguswi hata na serikali kuu.
Sio hivyo! Jamaa hajui kuwa anacho suggest ni total system overhaul na sio hao individuals na ambitions zao. Mimi sio constitutional law expert lakini naona kabisa haya yatakuwa matakwa ya katiba nyingine kabisa.Hahaha sasa hao wote umewataja wana sifa, Babu Tale yupo successful kwenye Music industry so atachangua Arts, Musukuma ni businessmam kwenye madini na usafirishaji, Juakali kasomea sheria (nadhani) which ndo field muhimu sana kwa mbunge kujua sheria
How is that so? Just pick a couple of "seniors", knowledgable and the experienced amongst the incumbent MPs, and give them tools to be senators. It does not have to be like Kenyan or Nigerian style, let us have our own.We don’t need a bicameral legislature.
It’s wasteful spending.
Kwa kuwa ni dhahiri bunge letu halina faida yoyote, labda bunge lolilopo lifanyiwe marekibisho kwa kuwa na uwakilishi wa kimkoa badala ya majimbo na, pamoja na majukumu yake ya sasa, liongezewe hayo majukumu ya ki-senate uliyoainisha.Nimewaza tu kwamba tunahitaji kuwa na mawazo mbadala ya bunge lililopo sasa,
Hata hivyo kwakua nchi nzima hatuna mikoa zaidi ya 35 bajeti yake nayo haitakua kubwa kwani maseneta hawatazidi idadi ya mikoa.
I have sometimes wondered if we even need this institution. Kama ni kutunga sheria, sheria zinaandikwa na serikali wao wanapelekewa kupitisha. Kama ni bajeti, bajeti inaandaliwa na serikali wao wanakutana zaidi ya miezi miwili kuipitisha.Ulichowaza ni sahihi kabisa coz tushaona mara nyingi maamuzi ya bunge kwa kiasi kikubwa ni kupendelea serekali hata kama ni maamuzi ya kuumiza nchi.
Nakubali bungee la mabwenyenye ila nakubali wajumbe wake,kwani tatizo la wabunge walio ni umaskini wanaproject nyingi za kuwaingizia pesa halali na zisizo halali,wajumbe 35 watanunulia wote.wajumbe wawe watu wenye investment zinazo fikiabilion 50 na wastaafu Maris nawenyeviti wa chama vyenye wabunge kadhaa walio maliza muda waoNimewaza tu kwamba tunahitaji kuwa na mawazo mbadala ya bunge lililopo sasa,
Hata hivyo kwakua nchi nzima hatuna mikoa zaidi ya 35 bajeti yake nayo haitakua kubwa kwani maseneta hawatazidi idadi ya mikoa.
Babu Tale mafanikio ya kukaribiana na Diamond na kuwa janjajanja ndio yatumike kuleta mawazo chanya bungeni?Hahaha sasa hao wote umewataja wana sifa, Babu Tale yupo successful kwenye Music industry so atachangua Arts, Musukuma ni businessmam kwenye madini na usafirishaji, Juakali kasomea sheria (nadhani) which ndo field muhimu sana kwa mbunge kujua sheria
Nimewaza tu kwamba tunahitaji kuwa na mawazo mbadala ya bunge lililopo sasa,
Hata hivyo kwakua nchi nzima hatuna mikoa zaidi ya 35 bajeti yake nayo haitakua kubwa kwani maseneta hawatazidi idadi ya mikoa.
We don’t need a bicameral legislature.
It’s wasteful spending.
Ndio mkuu huwezi kumkuta dogo graduate hana hata chumba cha kupanga eti anapewa mamlaka ya kutunga sheria za nchi.Kwa mfumo wa nchi nyingine huko wanaingia elites tu ambao watakua wanachuja maazimio ya Bunge la kawaida na kuyaboresha ili maamuzi yatayotoka yanakua bora zaidi.
Walioshika mpini wa kisu hawatakubaliana nawe, kumbuka yule mstaafu aliyeshauri matokeo ya uchaguzi yahesabiwe hadharani baada ya kuonja joto ya jiwe ya aliyemwachia kitiWingu la siasa za nchi yetu limechafuka kwa mijadala mbali mbali kuhusiana na maswala muhimu ya kitaifa yaliyoibuliwa na ripoti ya CAG pamoja na comments za wadau mbali mbali kuhusiana na ripoti hiyo.
Ripoti hiyo imegusia unaosemekana ni ufisadi uliotokana na mambo yanayohusiana na mikataba iliyopelekea ujenzi wa miradi ya maendeleo na ununuzi wa mali mbali mbali.
Kwa nyakati tofauti viongozi mbali mbali wa mihimili ya dola na vyama vya upinzani wametoa maoni yao kuhusiana na ripoti hiyo pamoja na maswala mengine ya kitaifa.
Maoni hayo yamepelekea kuibuka kwa mijadala mizito ambayo kwa ufupi nimeona suluhisho lake ni kuwa na Senate au Bunge la Mabwanyeye ambalo litasaidia kupunguza lawama lukuki inazotupiwa serikali na viongozi wakuu wa nchi.
Senate ni Bunge la juu ambalo wawakilishi wake hutokana na mikoa na sio majimbo ya uchaguzi.
Bunge hili huwa na majukumu yaliyogawanyika katika sehemu kuu tatu.
1. Kuidhinisha au kutoidhinisha mikataba iliyoingiwa na Rais kwa niaba ya Nchi.
2. Kuidhinisha au kutoidhinisha wateule wa Rais.
3. Kufanya uchunguzi na kutoa adhabu kwa viongozi wa serikali ambao wamefanya makosa mbali mbali dhidi ya nchi.
Mara nyingi senate hutumika kama mhuri kwa maamuzi yaliyofanyika na bunge la kawaida, na pia hupewa hadhi ya kikao cha bunge kinachochuja na kutolea maamuzi maazimio ya bunge kawaida.
Ukiangalia mambo yanayotajwa kama mapungufu katika ripoti ya CAG utaona kwamba kuna umuhimu wa kuwa na bunge hili ambalo litakua likichuja maazimio ya bunge la kawaida, kupitia tena miswada ya sheria, kupitia tena bajeti za wizara mbali mbali na kutoa ushauri kwa Rais.
Aidha lingekuwa jambo la heri kwa Taifa letu kama tungeweka sifa za kielimu ambazo zitawafanya maseneta kuwa na ubobevu katika maeneo flani ili kutoa michango na maamuzi yenye tija kwa Taifa.
Mfumo huu wa Bunge la Senate unatumika na nchi takriban 64 hapa Duniani na naimani kwamba kama tukiutumia utatusaidia sana na kupunguza lawama kwa serikali na viongozi wa kitaifa.
Kuwa na bunge effective ni muhimu.Kwa kuwa ni dhahiri bunge letu halina faida yoyote, labda bunge lolilopo lifanyiwe marekibisho kwa kuwa na uwakilishi wa kimkoa badala ya majimbo na, pamoja na majukumu yake ya sasa, liongezewe hayo majukumu ya ki-senate uliyoainisha.
Hii itasaidia kupunguza gharama kwa kuwa na bunge dogo.