johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,138
Ripoti ya CAG iliyosheheni madudu kibao itajadiliwa katika Vikao vya Bunge la keshokutwa yaani November
Miaka ya nyuma Chadema ndio walikuwa tegemeo la Taifa kwenye kuwabana Mafisadi bungeni lakini kwa bahati mbaya sasa Wana Mbunge mmoja tu
Tumaini pekee la Watanzania ni Mwenezi mpya wa CCM komredi Makonda ambaye ndiye Boss wa Itikadi ambayo ndani yake kuna Maadili ya Viongozi
Tuzidi kumuombea
Mlale Unono 😀😀
Miaka ya nyuma Chadema ndio walikuwa tegemeo la Taifa kwenye kuwabana Mafisadi bungeni lakini kwa bahati mbaya sasa Wana Mbunge mmoja tu
Tumaini pekee la Watanzania ni Mwenezi mpya wa CCM komredi Makonda ambaye ndiye Boss wa Itikadi ambayo ndani yake kuna Maadili ya Viongozi
Tuzidi kumuombea
Mlale Unono 😀😀