Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 309
Nitayainua macho yangu nitazame milima,msaada wangu utatoka wapi?msaada wangu u ktk bwana aliyezifanya mbingu na nchi,
Bwana ni nuru yangu na wokovu wangu, Nimwogope nani? Bwana ni ngome ya uzima wangu, Nimhofu nani?
Usipende usingizi usije ukawa maskini; Fumbua macho yako nawe utashiba chakula
Bwana ni nuru yangu na wokovu wangu, Nimwogope nani? Bwana ni ngome ya uzima wangu, Nimhofu nani?
Usipende usingizi usije ukawa maskini; Fumbua macho yako nawe utashiba chakula