Ni msemo gani unaokupa nguvu zaidi ukiwa kwenye shida

La hawla wala quwwata....ila billaahil-aliyyil-adhiim.
(hakuna ujanja wa aina yeyote...wala hakuna nguvu aina yeyote...kwenye jambo lolote...ispokua Mungu atake...alie juu ya kila kitu...na ni mkubwa kuliko kila kitu) hii tafsir ndio sahihi ya hayo maneno kwa ufafanuzi wake.
 
Back
Top Bottom