LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 457
- 1,708
Kuna misemo ipo mingi ila mojawapo ni hii.
Karuka mkojo kakanyaga mavi, au ya leo afadhali ya jana, au asante mungu kwa kunishushia ule mzigo
Je, mahusiono yako yapo katika hali gani tofauti na nyuma?
Kusema kweli mimi huyu ninayeishi naye kwa sasa ni ule msemo wa kuvumiliana.
Karuka mkojo kakanyaga mavi, au ya leo afadhali ya jana, au asante mungu kwa kunishushia ule mzigo
Je, mahusiono yako yapo katika hali gani tofauti na nyuma?
Kusema kweli mimi huyu ninayeishi naye kwa sasa ni ule msemo wa kuvumiliana.