uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 6,284
- 12,042
Kwa mechi kama tatu tangu arudi uwanjani baada ya kelele kuwa nyingi bado naona Pacome hajawafiti kucheza game tough na game ya final FA anahitajika sana nadhani game ijayo atapumzika.
NB: Hawa wachezaji walindwe au wajilinde na vishangazi aina ya mobeto vile havijui chochote kuhusu mpira kanaweza kumpa mbunye hata siku moja kabla ya game hali itayo athiri uwezo wake uwanjani.
NB: Hawa wachezaji walindwe au wajilinde na vishangazi aina ya mobeto vile havijui chochote kuhusu mpira kanaweza kumpa mbunye hata siku moja kabla ya game hali itayo athiri uwezo wake uwanjani.